Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mo Music: Nampenda Lulu

luluNA SHARIFA MMASI
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Moshi Katemi maarufu kwa jina la ‘Mo Music’, amesema anatamani kumshirikisha mwigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’ katika muziki wake kwa kuwa anampenda.
Msanii huyo aliyewahi kutamba na wimbo wa ‘Basi Nenda’, alisema ametokea kumpenda mrembo huyo kutokana na umahiri wa kazi zake za filamu, maana uwezo wake una tofauti kubwa na waigizaji wengine.
Mo Music aliongeza kwamba huwa ana kawaida ya kutazama filamu za wasanii mbalimbali, lakini za...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Lulu: Nampenda Wema kama dada yangu

lulu_instagramNA THERESIA GASPER

KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepetu, utakuwa umekosea, kwani hakuna ugomvi kati yao.

Lulu alieleza kwamba wamekuwa wakishirikiana na Wema Sepetu katika mambo mbalimbali, ikiwemo sherehe, misiba na mijumuiko mbalimbali.

“Nampenda Wema kama dada yangu na yeye ananipenda vile vile, nimekuwa nikihudhuria kwenye shughuli mbali mbali ambazo zinamhusu, nilishiriki vema katika msiba wa baba yake na sherehe zake...

 

9 years ago

Bongo5

Music: King Poza Ft Sultan King — Nampenda

Msanii King Pozza toka Zanzibar ameachia wimbo mpya unaitwa “Nampenda” amemshirikisha Sultan King Producer Aloneym. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Michuzi

Miriam Lulu Chemmoss is embarrassed by her music never stops

Click Show Images To See The Picture :-)Miriam Chemmoss Live Band Performance at The Shrine in New York
By Miriam Lulu Chemmoss Hi there! Many years ago, I sort of felt like Brazil during it's 7-1 whopping by Germany during the World Cup. I was hired to sing at a military function in Pentagon City. While singing the national anthem at the opening of the event, a cellphone rang somewhere in the audience and for about 5 seconds (but what felt like an eternity) I froze and forgot the lyrics.  I remember looking at the floor and...

 

9 years ago

Bongo5

Mo Music apanga kumtumia Lulu kwenye video yake mpya

mo music

Hitmaker wa Basi Nenda, Mo Music amesema anajipanga kufanya mazungumzo na muigizaji Elizabeth ‘Lulu’ Michael ili awe mrembo kwenye video yake inayokuja.

mo music

Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa Lulu ni muigizaji mzuri anayeweza kucheza vizuri katika video hiyo.

“Plan zipo za kumtumia, sema bado sijazungumza naye lakini ipo kwenye mpango wa kufanya naye mazunguzo,” amesema Mo.
“Lulu ni muigizaji mzuri sana na pia namkubali kazi zake ndio maana nikaona kama akikaa kwenye project yangu mpya itakuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Nas Twaa Feat Lulu – Ringa Ringa

Nas Tatu

Rapper Nas Twaa ameachia wimbo wake mpya unaitwa “Ringa Ringa”, Amemshirikisha mwanamuzki wakike anaitwa Lulu, Studio Free Nation-Sound.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Mwananchi

Nahisi nampenda Prof wangu

Pole na majukumu shangazi mkubwa. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 sasa. Ninasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mwaka wa pili.

 

9 years ago

GPL

MUME: BADO NAMPENDA SHAMSA

ALIYEKUWA mzazi mwenziye na staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford, Dickson Matoke amesema kuwa ndani ya moyo wake bado anampenda sana na kumthamini mkewe huyo kama mama wa mtoto wake siku zote za maisha yake. Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford akiwa na aliyekuwa azazi mwenzake Dickson. Akichezesha taya na Amani, Dick alisema kuwa japokuwa wametengana na mzazi mwenziye huyo lakini ukweli unabaki kuwa yule ndiye mwanamke wa maisha yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani