Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nahisi nampenda Prof wangu

Pole na majukumu shangazi mkubwa. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 sasa. Ninasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mwaka wa pili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

ROSE NDAUKA:Nampenda Mwangu, Yeye Ndio Mchizi Wangu!!

Mrembo na muigizaji wa  filamu , Rose Ndauke ambae ni mama wa mtoto mmoja , ameleza kwajinsi gani anavyo mpenda mtoto wake na humfanya awe na furaha wakati wote japokuwa anamlea mtoto peke yake kama “single mother” baada ya kuachana na aliekuwa mchumba wake ambae ndio baba wamtoto huyo.

Akionakana mwenye tabasamu pana akiwa amembeba mtoto wake rose alisema;

“Sasa nikiwa nae nachekaje mpaka jino mwisho nakupenda mwanangu na ndio mchizi wanguuuuu”

Jionee baadhi ya picha hapo juu akiwa maeneo...

 

10 years ago

Bongo5

Amber Rose: Nampenda, nammiss sana mume wangu (Wiz Khalifa)

Mwanamitindo, Amber Rose amekiri kuwa bado anampenda mume wake Wiz Khalifa licha ya kwamba wameachana. “Inaumiza,” Rose alijibu baada ya kuulizwa kuhusu anavyokabiliana na talaka. “Mimi ni binadamu, unajua? Nipo kwenye talaka. Nampenda mume wangu, nammiss sana na mambo mabaya hutokea.” Amber alimshutumu Wiz kuwa alisaliti ndoa yao.

 

9 years ago

Bongo5

Flora Mbasha afuta kesi ya talaka dhidi ya mumewe, ‘bado nampenda sana mume wangu’

Ndoa ya Flora Mbasha na mume wake Emmanuel Mbasha bado ipo hai baada ya wawili hao kukubali kuifuta kesi ya talaka iliyodumu kwa takriban mwaka mmoja. Flora ndiye aliyefungua kesi hiyo baada ya kutokea mgogoro kwenye ndoa yao iliyosababishwa na kesi ya kudaiwa kubaka aliyoshtakiwa mumewe. Hata hivyo Emmanuel hivi karibuni alikuwa mtu huru baada […]

 

11 years ago

GPL

MAINDA: NAHISI 2014 UTANIFARIJI

Stori: Hamida Hassan
MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema anaamini kwa dalili alizoanza kuziona, mwaka huu utakuwa ni wa faraja kwake. Ruth Suka ‘Mainda’. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni juu ya dira ya mwaka 2014, Mainda alisema mwaka jana aliamua kuokoka baada ya kubaini kuna mambo anamkosea Mungu na imani yake ni kwamba Mungu atamsamehe na kumfungulia milango ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahisi wivu Chelsea Manchester:Gerrard

Nahodha wa Liverpool ya England Steven Gerrard amesema anajisikia wivu kuona timu za Chelsea na Manchester United

 

9 years ago

Bongo5

Nahisi mauti yapo karibu yangu – Wastara

Wastara

Ikiwa leo ni mwaka wa tatu toka msanii wa filamu, Sajuki Juma afariki dunia, mke wake Wastara Juma ameendelea kupitia mitihani mbalimbali ya maisha hali inayomfanya aombe Watanzania wamuombee dua.

Wastara

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wastara ameandika.

Naanza kwa kumshukuru mungu wangu anaenipa pumzi ya bule mpaka mda huu. Sina budi kusema haya nitakayoyasema kwa ajili mwaka mpya unaonza. Ni miaka 4 na miezi 6 leo imetimia toka furaha yangu ilipoingia dosari.

Mungu alinipa mtu wa kunipa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara: Nahisi Mauti Yapo Karibu Yangu

WASTARA34

Soma vizuri ili uelewe vizuri
Naanza kwa kumshukuru mungu wangu anaenipa pumzi ya bule mpka mda huu
Sina budi kusema hya nitakayoyasema kwa ajili mwaka mpya unaonza kesho
Ni miaka 4 na miezi 6 leo imetimia toka furaha yangu ilipoingia dosari
Mungu alinipa mtu wa kunipa furaha couz kilakitu Alhamdulilah nilikuwanacho kulingana na nafasi yangu lakini sikuwa na furaha lakini furaha hiyo aikudumu nakumbuka ilikuwa mwezi 6/ 2011 marehemu sajuki alipoanza kuumwa ndipo furaha ilipoanza kupotea...

 

9 years ago

Bongo5

Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego

Chagga-na-Nay

Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.

nay-na-shamsha

Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.

Chagga-na-Nay
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego

Siku...

 

11 years ago

GPL

MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU

STORI: MAKONGORO OGING’
Regina Kihosa (62), mkazi wa Kosolameba mkoani Kigoma amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kufuatia gonjwa la ajabu lililompata huku akidai kwamba limetokana na wachawi ambao wanausumbua mji wake. Regina Kihosa akiteseka kwa gonjwa la ajabu. KWANZA AMEPOTEZA WATOTO WANANE
Mama huyo amelazwa katika hospitali hiyo jengo la Sewahaji,wodi namba 24 akiendelea na matibabu na ana mawazo mengi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani