Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Modric ; Matumaini yangu Brazil

Mshambulizi wa Croatia Luka Modric anapania kushamiri Brazil sawa na walivyotamba watangulizi wake mwaka 1988 .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Matumaini ya Brazil yategemea Neymar

Mchezaji wa kitambo wa Brazil ana wasiwasi taifa hilo linamshinikiza Neymar kunyakua Kombe la Dunia.

 

11 years ago

BBC

Modric hoping to be fit for Cameroon

Croatia midfielder Luka Modric hopes to be fit for his side's next World Cup match against Cameroon after a foot injury.

 

11 years ago

GPL

KISA UBINGWA WA UEFA MODRIC ANYOA NYWELE

Hivi ndivyo anavyoonekana sasa hivi baada ya kukata nywele zake. KIUNGO  wa kikosi cha Real Madrid, Luka Modric  ameamua kukata nywele zake baada ya timu yake hiyo kufanikiwa  kutwaa ubingwa wa Uefa mbele ya Atletico Madrid kwa  kuibanjua mabao 4-1 Jumamosi iliyopita.…

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Real Madrid yapata pigo baada ya kiungo wake Luka Modric kukaa nje ya uwanja kwa wiki tatu

Klabu ya Real Madrid imepata pigo baada ya kiungo wake, Luka Modric kuumia akiwa na timu yake ya taifa ya Croatia katika mchezo dhidi ya Bulgaria. Mchezaji huyo aliumia nyonga na jeraha hili litamuweka nje ya uwanja kwa muda usiopungua wiki tatu. Modric amekuwa na matumaini makubwa ya kurudi uwanjani mapema kiasi cha kuwahi mchezo […]

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo

Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil

>Vilio, majonzi vilitawala kila ni kona ya Brazil baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-1kutoka kwa Ujerumani katika nusu fainali ya kwanzajana kwenye Uwanja wa Mineirao.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Rio awatabiria akina Pogba kung’ara Brazil

Ferdinand, ambaye amestaafu kuchezea timu ya taifa, atakuwa mmoja wa wachambuzi wa michuano hiyo ya mwaka huu inayoanza wiki hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani