Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moro, Kino zatuma salamu Chaneta Taifa Cup

TIMU ya Mkoa wa Morogoro na Kinondoni jana zilianza vema michuano ya netiboli ya Kombe la Taifa ‘Chaneta Taifa Cup’ kwa kuibuka na ushindi katika mechi zao huku Mbunge wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHANETA Taifa Cup yakosolewa

WAKATI michuano ya netiboli kuwania Kombe la Taifa ‘CHANETA Taifa Cup’ ikiendelea kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam imekosolewa kutokana na kutawaliwa na wachezaji wa Dar es Salaam....

 

10 years ago

TheCitizen

Chaneta needs Sh120m to stage Taifa Cup

The country’s netball governing body, Chaneta, is looking for Sh160 million for staging the Taifa Cup tournament planned to kick off in the city early next year.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtibwa, Kagera, Prisons zatuma salamu kwa wapinzani wao

Zikiwa zimesalia siku sita kabla ya kuendelea kwa Ligi Kuu, makocha wa Mtibwa, Prisons na Kagera Sugar wametoa tahadhari kwa timu za Simba, Coastal Union na Stand United ambazo watafungua nazo dimba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TMK, Moro fainali Taifa Cup leo

MABINGWA watetezi, Temeke na Morogoro wamefanikiwa kutinga fainali ya Chaneta Taifa Cup itakayopigwa leo Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Temeke imefanikiwa kucheza fainali baada ya kuifunga Kinondoni 63-36...

 

11 years ago

TheCitizen

NETBALL: Chaneta asks for help ahead of World Cup

Chaneta chairperson, Anna Kibira, says the association can not cater for all the needs of the national team on its own.

 

11 years ago

CloudsFM

RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI AJALI YA BASI LA MORO BEST

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi kufuatia ajali iliyotokea tarehe 30 Julai, 2014 katika eneo la Pandambili, Wilayani Kongwa na kuua watu wapatao 18.

Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.

Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia...

 

10 years ago

TheCitizen

Zanzibar boys shine as Moro falter in U-15 Cup

>Kusini Pemba yesterday shocked 2012 Copa Coca-Cola champions Morogoro with a 1-0 beating at Tanganyika Packers ground as as the U-15 national youth championship raged on at four grounds in Dar es Salaam and Coast regions.

 

10 years ago

GPL

SIMBA HOI KWA POLISI MORO UWANJA WA TAIFA DAR

Kikosi cha timu ya Simba SC kilichoanza dhidi ya Polisi Moro na kuambulia sare ya bao 1-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kikosi cha timu ya Polisi Moro kilichoanza dhidi ya Simba SC.…

 

10 years ago

Vijimambo

SALAMU NZITO KWA RAIS NA MKOMBOZI MPYA WA TAIFA HILI ALIYETUANDALIA

Salamu  za mwisho kwa Rais wangu
Na Angela Kiwia
NIMEKUWA na utaratibu wa kumuandikia Rais wangu barua  na salamu ambazo huandikwa kupitia ukurasa huu.Nimekuwa nikitumia utaratibu huu kutokana na kutopata fulsa ya kumkaribia na kuonana naye uso kwa macho.Hivyo basi kutokana na fulsa niliyonayo kupitia Kurunzi nimekuwa nikimtumia salam zangu ambazo kwa hakika huwa zinamfikia ipasavyo.
Natambua ya kuwa wapo ambao wamekuwa wakifikisha salamu hizi kwa kuzipindisha na kuweka uchochezi kwa manufaaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani