Mtibwa, Kagera, Prisons zatuma salamu kwa wapinzani wao
Zikiwa zimesalia siku sita kabla ya kuendelea kwa Ligi Kuu, makocha wa Mtibwa, Prisons na Kagera Sugar wametoa tahadhari kwa timu za Simba, Coastal Union na Stand United ambazo watafungua nazo dimba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Moro, Kino zatuma salamu Chaneta Taifa Cup
TIMU ya Mkoa wa Morogoro na Kinondoni jana zilianza vema michuano ya netiboli ya Kombe la Taifa ‘Chaneta Taifa Cup’ kwa kuibuka na ushindi katika mechi zao huku Mbunge wa...
11 years ago
Michuzi15 Mar
kagera sugar yaichapa Tanzania prisons 2-1 leo bukoba
Na Faustine Ruta, Bukoba Ligi Kuu Vodacom imeendelea leo na hapa Mjini Bukoba tukishuhudia Timu ya Maafande kutoka Jijini Mbeya ikinyukwa bao 2-1 na wenyeji Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba. Kipindi cha kwanza Tanzania Prisons ndio walipata bao kupitia kwa mchezaji wao Peter Michael katika dakika ya 37 baada ya kuwachambua kama karanga mabeki wa Kagera Sugar na kuachia shuti kali na kumfunga kipa wa Kagera Sugar. Mpaka dakika za mapumziko Tanzania Prisons...
9 years ago
Habarileo10 Sep
Aasa wafuasi kuheshimu mabango ya wapinzani wao
MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema-Zanzibar, Said Issa Mohammed amewaasa wafuasi wa chama hicho pamoja na wanachama wa vyama vingine vya NCCR-Mageuzi, CUF na NLD vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutochana au kubandua picha za mabango ya wagombea wa vyama vingine.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KLv7F5iZbaM/Uzxh753OUCI/AAAAAAAFX8s/QnI9hYz4jAc/s72-c/48.jpg)
kuelekea ukingoni mwa kampeni za Uchaguzi Jimbo la Chalinze,CCM yazidi kuzibomboa ngome za wapinzani wao
![](http://4.bp.blogspot.com/-KLv7F5iZbaM/Uzxh753OUCI/AAAAAAAFX8s/QnI9hYz4jAc/s1600/48.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ukf1oYk_iCk/Uzxh8HOXdMI/AAAAAAAFX8w/v7ikdjxC-dA/s1600/49.jpg)
9 years ago
Dewji Blog27 Sep
TFF: Yatuma salamu za rambirambi Coastal Union baada ya kuondokewa na mchezaji wao U20
Rais wa Shirikisho la Soka nchini, Jamal Malinzi..
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetuma salam za rambirambi kwa mwenyekiti wa klabu ya Coastal Union, Dr Twaha Ahmed kufuatia kifo cha mchezaji Mshauri Salim aliyefariki jana jioni jijini Tanga.
Katika salam hizo za Rais wa TFF, Jamal Malinzi kwenda kwa uongozi wa klabu ya Coastal Union, amewapa pole wafiwa ndugu jamaa na marafiki pamoja na uongozi wa klabu hiyo na kusema TFF wako nao pamoja katika kipindi hichi cha...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Hivi ndivyo Azam FC walivyoendeleza ubabe katika uwanja wao wa Chamazi dhidi ya Kagera, Cheki pichaz …
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena kwa michezo miwili kupigwa, Mwanza ulichezwa mchezo wa Toto Africans dhidi ya African Sports ya Tanga, wakati Dar Es Salaam katika dimba la Azam Complex Chamazi, kulikuwa kuna mchezo wa kuvutia kati ya Azam FC dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC ambao walikuwa katika uwanja wao wa nyumbai […]
The post Hivi ndivyo Azam FC walivyoendeleza ubabe katika uwanja wao wa Chamazi dhidi ya Kagera, Cheki pichaz … appeared first on TZA_MillardAyo.