Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aasa wafuasi kuheshimu mabango ya wapinzani wao

MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema-Zanzibar, Said Issa Mohammed amewaasa wafuasi wa chama hicho pamoja na wanachama wa vyama vingine vya NCCR-Mageuzi, CUF na NLD vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutochana au kubandua picha za mabango ya wagombea wa vyama vingine.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

E FM 93.7 yaingia Bagamoyo kwa kishindo na kupokelewa na mabango ya wasilikilizaji wao.

Kituo cha radio kinachokuja kwa kasi jijini Dar es Salaam leo usiku huu kimefanya uzinduzi mkubwa wa radio hiyo mjini Bagamoyo. Pichani Mtangazaji wa michezo wa radio hiyo Maulid Kitenge akiwa na baadhi ya wasikilizaji mara baada ya kuwasili mjini Bagamoyo tayari kwa uzinduzi usiku wa kuamkia leo. Mkude Simba ndani....

 

9 years ago

Mwananchi

Wanasiasa watakiwa kuwaonya wafuasi wao

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amewataka viongozi wa vyama hivyo kutoa maelekezo kwa wafuasi na wanachama wao kutoshiriki katika vitendo vya uvunjifu wa amani.

 

9 years ago

StarTV

NEC yawataka wanasiasa, wafuasi wao kufuata sheria

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wanasiasa pamoja na wafuasi wa vyama kuzingatia sheria na kuepuka vishawishi vinavyoweza kuhatarisha amani ya nchi ikiwemo sheria namba moja ya mwaka 1985 inayozuia fursa ya wapiga kura kufanya mikusanyiko isiyo ya lazima mara baada ya kupiga kura ndani ya eneo la mita mia mbili hadi mia tatu kutoka katika kituo cha kupigia kura.

Hayo yamebainishwa na Afisa Uchaguzi  wa kanda ya Ziwa kutoka tume ya taifa ya uchaguzi katika mkutano wa pamoja baina ya...

 

5 years ago

Michuzi

Wafuasi wa Chadema marufuku mahakamani wakati wa usikilizwaji wa Rufaa ya viongozi wao

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa amri kuwa  hakuna shabiki yetote atakayeruhusiwa kuingia mahakamani hapo kusikiliza rufaa iliyokatwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake saba kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho nchi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtibwa, Kagera, Prisons zatuma salamu kwa wapinzani wao

Zikiwa zimesalia siku sita kabla ya kuendelea kwa Ligi Kuu, makocha wa Mtibwa, Prisons na Kagera Sugar wametoa tahadhari kwa timu za Simba, Coastal Union na Stand United ambazo watafungua nazo dimba.

 

10 years ago

Michuzi

CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakutana Zanzibar Januari 13, kwa kikao cha kawaida cha siku moja chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete. 
Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...

 

11 years ago

Michuzi

kuelekea ukingoni mwa kampeni za Uchaguzi Jimbo la Chalinze,CCM yazidi kuzibomboa ngome za wapinzani wao

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye sambamba na Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete wakiyarudi magoma wakati wa Mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika leo April 2,2014 katika Kijiji cha Lugoba,Kata ya Lugoba. Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia Mamia ya wakazi wa Kijiji cha Lugoba waliofurika kwenye uwanja wa Mnadani,kusikiliza sera ya Mgombea Ubunge huyo...

 

10 years ago

Habarileo

Sumaye aasa vijana kulinda amani

Frederick SumayeWAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewataka vijana kote nchini kuwa mstari wa mbele kulinda amani, usalama na utulivu wa nchi katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 na kukemea siasa za chuki kwani mfumo uliopo ni mfumo wa vyama vingi, hivyo kila mmoja anapaswa kumheshimu mwenzake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani