Walicho amua kufanya Wafuasi wa Lowassa baada ya Msafara wao Kuzuiliwa
![](http://img.youtube.com/vi/-z3uoSLyehQ/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pyQo_Qbi6bo/Vcy20L2oFJI/AAAAAAADWvQ/mCQkL5QzMo4/s72-c/IMG-20150813-WA0193.jpg)
LOWASSA AWAVAA POLISI BAADA YA KUSIMAMISHA MSAFARA WAKE HUKO KILIMANJARO
![](http://1.bp.blogspot.com/-pyQo_Qbi6bo/Vcy20L2oFJI/AAAAAAADWvQ/mCQkL5QzMo4/s640/IMG-20150813-WA0193.jpg)
Waziri mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa ameshindwa kuhudhuria mazishi ya mwanasiasa mkongwe hayati mzee Peter Kisumo yaliyokuwa yanafanyika Usangi mkoani Kilimanjaro baada ya msafara wake kuzuiliwa na polisi katika wilaya ya Mwanga kutokana na kuongozana na wananchi wakiwemo vijana waliokuwa na pikipiki waliokuwa wanakwenda kwenye mazishi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-OSSbuBYlOfU/Vcy20WRbmZI/AAAAAAADWvU/YgDbtcGqBLg/s640/IMG-20150813-WA0192.jpg)
10 years ago
Bongo Movies10 Dec
Baada ya kuzuiliwa kwa muda: Filamu ya ‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni yaruhusiwa kutoka.
Msanii wa filamu, Mahsein Awadh Said aka Dr. Cheni’ amesema filamu yake ya ‘Nimekubali Kuolewa’ iliyokuwa imezuiwa kutoka na Bodi ya Filamu Tanzania (TFB) inatarajiwa kutoka mapema mwakani baada kukamilisha matakwa yao.
Dokta Cheni alisema kuzuiliwa kwa filamu hiyo kulimnyima raha kiasi cha kumfanya asifanye kazi nyingine mpaka akamilishe kazi hiyo.
“Nimefanikiwa kuipigania filamu yangu ya ‘Nimekubali Kuolewa’, itatoka mwezi wa pili mwakani. Kikubwa nilichokifanya ni kurekebisha baadhi...
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Wanasiasa watakiwa kuwaonya wafuasi wao
9 years ago
Habarileo10 Sep
Aasa wafuasi kuheshimu mabango ya wapinzani wao
MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema-Zanzibar, Said Issa Mohammed amewaasa wafuasi wa chama hicho pamoja na wanachama wa vyama vingine vya NCCR-Mageuzi, CUF na NLD vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutochana au kubandua picha za mabango ya wagombea wa vyama vingine.
9 years ago
StarTV23 Oct
NEC yawataka wanasiasa, wafuasi wao kufuata sheria
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wanasiasa pamoja na wafuasi wa vyama kuzingatia sheria na kuepuka vishawishi vinavyoweza kuhatarisha amani ya nchi ikiwemo sheria namba moja ya mwaka 1985 inayozuia fursa ya wapiga kura kufanya mikusanyiko isiyo ya lazima mara baada ya kupiga kura ndani ya eneo la mita mia mbili hadi mia tatu kutoka katika kituo cha kupigia kura.
Hayo yamebainishwa na Afisa Uchaguzi wa kanda ya Ziwa kutoka tume ya taifa ya uchaguzi katika mkutano wa pamoja baina ya...
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Wananchi wazuia msafara wa Lowassa
Na Fredy Azzah, Korogwe
MSAFARA wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana ulizuiwa na wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani Tanga ambao sehemu nyingine walikuwa wamebeba madumu ya maji kumwonyesha jinsi wanavyotaabika na kero hiyo.
Tukio la wananchi kusimamisha msafara wake wakiwa wamebeba madumu ya maji lilijitokeza katika eneo la Mkata wilayani Handeni ambao wananchi hao walimwambia kuwa hiyo ni...
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Msafara wa Lowassa wapigwa mabomu
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Polisi yazuia msafara wa Lowassa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s72-c/CHADEMA-LOGO.png)
Wafuasi wa Chadema marufuku mahakamani wakati wa usikilizwaji wa Rufaa ya viongozi wao
![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s640/CHADEMA-LOGO.png)
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho nchi...