Baada ya kuzuiliwa kwa muda: Filamu ya ‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni yaruhusiwa kutoka.
Msanii wa filamu, Mahsein Awadh Said aka Dr. Cheni’ amesema filamu yake ya ‘Nimekubali Kuolewa’ iliyokuwa imezuiwa kutoka na Bodi ya Filamu Tanzania (TFB) inatarajiwa kutoka mapema mwakani baada kukamilisha matakwa yao.
Dokta Cheni alisema kuzuiliwa kwa filamu hiyo kulimnyima raha kiasi cha kumfanya asifanye kazi nyingine mpaka akamilishe kazi hiyo.
“Nimefanikiwa kuipigania filamu yangu ya ‘Nimekubali Kuolewa’, itatoka mwezi wa pili mwakani. Kikubwa nilichokifanya ni kurekebisha baadhi...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies19 May
‘Nimekubali Kuolewa’ Imetoka Leo na Kuisha Sokoni- Dr Cheni
Staa mkongwe wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dokta Cheni’ amewashukuru mashabiki na wapenzi wa kazi zake kwa kuipokea kazi yake ya ‘Nimekubali Kuolewa’ kwani imeigia leo sokoni na kununuliwa nakala zote hvyo inawabdiki wazalishe nakala nyingine zaidi.
“Asante Mungu muumba mbingu na ardhi asante washabiki wangu kwa kuifanya hii movie leo kuingia sokoni na kuisha copy zote dukani ila kesho zitaletwa copy zengine kwa maduka yote niombe radhi kwa wote mliokosa leo msg zenu nimezipata kesho...
10 years ago
Bongo Movies09 Jun
‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni Yauza Nakala 20,000 Ndani ya Wiki 1
Staa wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dr Cheni’ amesema filamu yake ‘Nimekubali Kuolewa’ ndio filamu yake iliyofanya vizuri kuliko filamu zake zote ambapo tayari imeshauza nakala elfu 20,000 ndani ya wiki moja tangu iingie sokoni.
Dr Cheni ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa hajui ni maajabu gani yametokea mpaka filamu hiyo kupendwa kiasi hicho.
“Kwa kawaida ndani ya wiki moja huwaga tunauza nakala elfu 5,000. Lakini kwenye filamu ‘Nimekubali Kuolewa’ imenifungulia njia,” amesema.
“Toka...
9 years ago
Bongo521 Sep
Baada ya kuolewa Meninah asimama kufanya muziki kwa muda!
10 years ago
Bongo Movies23 May
Neno la Shukrani Kutoka kwa Ray Baada ya Kuwa “Muongozaji Wa Filamu Anayependwa”
Nawashukuru Sana Watanzania Wote Kwa Kuniwezesha Kuwa Director Bora Mwaka 2015 En 2016. Pia Napenda Kuwapongeza Waandaji Wa (TUZO ZA WATU) Nyinyi Ni Mfano Wa Kuigwa Kwenye Hizi Tuzo Si Kwa Sababu Nimepata Noo Ila Nasema Ukweli Toka Moyoni Mwangu Usiku Wa Jana Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Hongereni. Pia Nilikuwa Najua Kuwa Wadau Msingeweza Kuniangusha Kwa Kuwa Mnajua Nilipo Itoa Tasnia Mungu Awabariki Sana.
By: Vicent Kigosi ‘Ray’ on Instagram
10 years ago
Bongo Movies23 May
Mke Amshtukia Dr Cheni Kutaka Kuolewa
Katika hatua isiyokuwa ya kawaida staa wo bongo movies, Mahsen Awadh ‘Dr Chen’ ameleza kuwa mkewealidhani angeolewa.
Dr Cheni aliandika kwenye ukurasa wake mtandaoni kuwa mkewe aliipinga filamu ya “Nimekubali Kuolewa kwa kudhani Cheni ataolewa kweli.
Filamu hiyo ilikuwa imezuiwa na Bodi ya ukaguzi wa Filamu ambayo imeiruhusu kutoka baada ya kufanyiwa marekebisho.
“Wife naye ameiruhusu movie itoke nimemwelewesha kuwa sijaolewa kweli nimeolewa kimovie tu amekubali itoke dah ndoa...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-z3uoSLyehQ/default.jpg)
9 years ago
Bongo520 Oct
Baada ya kutoka Hijja: Majuto hafanyi tena filamu za aina hii
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW4mE0O42aN00mwbF8YR0xc*EQTzfRIUzDz4S*mpPe60sBfnd-R0-6YurSevmQKGAzt*JTRwawskjiODc7jUI4ht/dkcheni.jpg?width=650)
DK. CHENI AISHAURI BODI YA FILAMU
11 years ago
Michuzi24 Apr
muda wa shindalo la waandishi wa filamu za Kiswahili la skripti za filamu ndefu waongezwa
Tafadhali tembelea tovuti ya ZIFF http://www.ziff.or.tz/2014/03/30/commissioning-feature-length-films-zuku-tvs-swahili-movies-chann/
Washindi 5 watapata zaidi ya Tsh 20millioni ili kutengeneza filamu zao baada ya kuchaguliwa na kupigwa msasa na magwiji...