Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya kuzuiliwa kwa muda: Filamu ya ‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni yaruhusiwa kutoka.

Msanii wa filamu, Mahsein Awadh Said aka Dr. Cheni’ amesema filamu yake ya ‘Nimekubali Kuolewa’ iliyokuwa imezuiwa kutoka na Bodi ya Filamu Tanzania (TFB) inatarajiwa kutoka mapema mwakani baada kukamilisha matakwa yao.

Dokta Cheni alisema kuzuiliwa kwa filamu hiyo kulimnyima raha kiasi cha kumfanya asifanye kazi nyingine mpaka akamilishe kazi hiyo.

 cheni

“Nimefanikiwa kuipigania filamu yangu ya ‘Nimekubali Kuolewa’, itatoka mwezi wa pili mwakani. Kikubwa nilichokifanya ni kurekebisha baadhi...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

‘Nimekubali Kuolewa’ Imetoka Leo na Kuisha Sokoni- Dr Cheni

Staa mkongwe wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dokta Cheni’  amewashukuru mashabiki na wapenzi wa kazi zake kwa kuipokea kazi yake ya ‘Nimekubali Kuolewa’  kwani imeigia leo sokoni na kununuliwa nakala zote  hvyo inawabdiki wazalishe nakala nyingine zaidi.

“Asante Mungu muumba mbingu na ardhi asante washabiki wangu kwa kuifanya hii movie leo kuingia sokoni na kuisha copy zote dukani ila kesho zitaletwa copy zengine kwa maduka yote niombe radhi kwa wote mliokosa leo msg zenu nimezipata kesho...

 

10 years ago

Bongo Movies

‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni Yauza Nakala 20,000 Ndani ya Wiki 1

Staa wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dr Cheni’ amesema filamu yake ‘Nimekubali Kuolewa’ ndio filamu yake iliyofanya vizuri kuliko filamu zake zote ambapo tayari imeshauza nakala elfu 20,000 ndani ya wiki moja tangu iingie sokoni.

Dr Cheni ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa hajui ni maajabu gani yametokea mpaka filamu hiyo kupendwa kiasi hicho.

“Kwa kawaida ndani ya wiki moja huwaga tunauza nakala elfu 5,000. Lakini kwenye filamu ‘Nimekubali Kuolewa’ imenifungulia njia,” amesema.

“Toka...

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kuolewa Meninah asimama kufanya muziki kwa muda!

Baada ya kuolewa muimbaji wa ‘Shaghala Baghala’, Meninah Atick amesema amesimama kufanya muziki kwa muda. Akizungumza na kipindi cha Friday Night Live cha EATV hivi karibuni, Meninah alisema muda mwingi atautumia kufanya biashara. “Mimi ni Mrs Abdukarim, alikuwa ana support muziki wangu, but mimi kama mimi kwanza nilikuwa engaged nilikubaliana na hiyo hali na ni […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Neno la Shukrani Kutoka kwa Ray Baada ya Kuwa “Muongozaji Wa Filamu Anayependwa”

Nawashukuru Sana Watanzania Wote Kwa Kuniwezesha Kuwa Director Bora Mwaka 2015 En 2016. Pia Napenda Kuwapongeza Waandaji Wa (TUZO ZA WATU) Nyinyi Ni Mfano Wa Kuigwa Kwenye Hizi Tuzo Si Kwa Sababu Nimepata Noo Ila Nasema Ukweli Toka Moyoni Mwangu Usiku Wa Jana Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Hongereni. Pia Nilikuwa Najua Kuwa Wadau Msingeweza Kuniangusha Kwa Kuwa Mnajua Nilipo Itoa Tasnia Mungu Awabariki Sana.

By: Vicent Kigosi ‘Ray’ on Instagram

 

10 years ago

Bongo Movies

Mke Amshtukia Dr Cheni Kutaka Kuolewa

Katika hatua isiyokuwa ya kawaida staa wo bongo movies,  Mahsen Awadh ‘Dr Chen’ ameleza kuwa mkewealidhani angeolewa.

Dr Cheni  aliandika kwenye ukurasa wake mtandaoni  kuwa mkewe aliipinga  filamu ya “Nimekubali Kuolewa kwa kudhani Cheni ataolewa kweli.

Filamu hiyo ilikuwa imezuiwa na Bodi ya ukaguzi wa Filamu ambayo imeiruhusu kutoka baada ya kufanyiwa marekebisho.

“Wife naye ameiruhusu movie itoke nimemwelewesha kuwa sijaolewa kweli nimeolewa kimovie tu amekubali itoke dah ndoa...

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kutoka Hijja: Majuto hafanyi tena filamu za aina hii

Muigizaji na mchekeshaji maarufu nchini, Alhaj Athumani King Majuto, amesema baada ya kwenda kuhiji Mecca, atakuwa hafanyi tena filamu ambazo ndani yake kutakuwa na matendo ya kumchukiza Mungu. “Sasa hivi filamu kama za kunywa pombe au kuna matukio ya kumchukiza Mungu siwezi kufanya,” Majuto ameiambia Bongo5. “Lakini ambazo zitakuwa hazima matukio kama hayo nitaendelea kufanya. […]

 

11 years ago

GPL

DK. CHENI AISHAURI BODI YA FILAMU

Stori: Mayasa Mariwata DK. Cheni ambaye jina lake halisi ni Mahsein Awadh ameibuka na kuishauri Bodi ya Filamu Tanzania kuangalia wazo la msanii na ujumbe anaotaka kuufikisha kwenye jamii kabla ya kuifungia.             Msanii wa filamu za Kibongo Mahsein Awadh 'Dk. Cheni'.
Akipiga stori na Stori Mix, Dk. Cheni alisema amekubali kubadilisha baadhi ya vipande vya Filamu ya Shoga kama...

 

11 years ago

Michuzi

muda wa shindalo la waandishi wa filamu za Kiswahili la skripti za filamu ndefu waongezwa

Tamasha la ZIFF limetangaza kuongezwa muda kwa wadau waandishi wa filamu  za Kiswahili. Shindano la skripti za filamu ndefu (feature film) katika lugha ya Kiswahili kwa ajili ya Chaneli ya ZUKU limeongezewa muda hadi tarehe 30 Aprili.
Tafadhali tembelea tovuti ya ZIFF  http://www.ziff.or.tz/2014/03/30/commissioning-feature-length-films-zuku-tvs-swahili-movies-chann/
Washindi 5 watapata zaidi ya Tsh 20millioni ili kutengeneza filamu zao baada ya kuchaguliwa na kupigwa msasa na magwiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani