Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Nimekubali Kuolewa’ Imetoka Leo na Kuisha Sokoni- Dr Cheni

Staa mkongwe wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dokta Cheni’  amewashukuru mashabiki na wapenzi wa kazi zake kwa kuipokea kazi yake ya ‘Nimekubali Kuolewa’  kwani imeigia leo sokoni na kununuliwa nakala zote  hvyo inawabdiki wazalishe nakala nyingine zaidi.

“Asante Mungu muumba mbingu na ardhi asante washabiki wangu kwa kuifanya hii movie leo kuingia sokoni na kuisha copy zote dukani ila kesho zitaletwa copy zengine kwa maduka yote niombe radhi kwa wote mliokosa leo msg zenu nimezipata kesho...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni Yauza Nakala 20,000 Ndani ya Wiki 1

Staa wa Bongo Movies, Mahsein Awadh ‘Dr Cheni’ amesema filamu yake ‘Nimekubali Kuolewa’ ndio filamu yake iliyofanya vizuri kuliko filamu zake zote ambapo tayari imeshauza nakala elfu 20,000 ndani ya wiki moja tangu iingie sokoni.

Dr Cheni ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa hajui ni maajabu gani yametokea mpaka filamu hiyo kupendwa kiasi hicho.

“Kwa kawaida ndani ya wiki moja huwaga tunauza nakala elfu 5,000. Lakini kwenye filamu ‘Nimekubali Kuolewa’ imenifungulia njia,” amesema.

“Toka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya kuzuiliwa kwa muda: Filamu ya ‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni yaruhusiwa kutoka.

Msanii wa filamu, Mahsein Awadh Said aka Dr. Cheni’ amesema filamu yake ya ‘Nimekubali Kuolewa’ iliyokuwa imezuiwa kutoka na Bodi ya Filamu Tanzania (TFB) inatarajiwa kutoka mapema mwakani baada kukamilisha matakwa yao.

Dokta Cheni alisema kuzuiliwa kwa filamu hiyo kulimnyima raha kiasi cha kumfanya asifanye kazi nyingine mpaka akamilishe kazi hiyo.

 cheni

“Nimefanikiwa kuipigania filamu yangu ya ‘Nimekubali Kuolewa’, itatoka mwezi wa pili mwakani. Kikubwa nilichokifanya ni kurekebisha baadhi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mke Amshtukia Dr Cheni Kutaka Kuolewa

Katika hatua isiyokuwa ya kawaida staa wo bongo movies,  Mahsen Awadh ‘Dr Chen’ ameleza kuwa mkewealidhani angeolewa.

Dr Cheni  aliandika kwenye ukurasa wake mtandaoni  kuwa mkewe aliipinga  filamu ya “Nimekubali Kuolewa kwa kudhani Cheni ataolewa kweli.

Filamu hiyo ilikuwa imezuiwa na Bodi ya ukaguzi wa Filamu ambayo imeiruhusu kutoka baada ya kufanyiwa marekebisho.

“Wife naye ameiruhusu movie itoke nimemwelewesha kuwa sijaolewa kweli nimeolewa kimovie tu amekubali itoke dah ndoa...

 

10 years ago

GPL

DK CHENI ATUA GLOBAL TV ONLINE LEO

Dk. Cheni akila pozi ndani ya Global TV Online. Dk. Cheni akiwa katika mahojiano na Mtangazaji wa Global TV Online, Shorvieny Mohammed. Dk. Cheni akifafanua…

 

10 years ago

Vijimambo

MSANII LULU AITAMBULISHA FILAMU YAKE MPYA IITWAYO MAPENZI YA MUNGU LEO.FILAMU YAINGIA SOKONI LEO

 Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga. Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).,Kulia ni Mmoja kati wa wasanii...

 

10 years ago

GPL

MSANII LULU AITAMBULISHA FILAMU YAKE MPYA IITWAYO MAPENZI YA MUNGU LEO.FILAMU YAINGIA SOKONI LEO‏

Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga.
Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo...

 

10 years ago

GPL

FILAMU KUBWA YA C.P.U IPO SOKONI LEO

FILAMU kubwa ya C.P.U Kitengo cha kutetea Watoto imeingia leo sokoni kwa njia ya mtandao, lengo likiwa ni kuwafikia watu wengi Ulimwenguni, hivyo kwa utaratibu wa kampuni ya usambazaji ya Proin Promotions ni kuuza katika mtandao baadae katika Dvd na njia nyingine. Leo Jumatatu tarehe 16.February. 2015 inapatikana mtandaoni unaweza kununua filamu hiyo kwa kutembelea www.proinpromotions.co.tz na kununua filamu ya C.P.U na filamu...

 

10 years ago

GPL

YANGA VS AZAM, MTOTO HATUMWI SOKONI LEO

PAZIA la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara linafunguliwa leo kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa Young Africans kucheza na timu ya Azam FC kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Kikosi cha Young Africans Sports Club. Young Africans ambayo imekuwa na rekodi ya kufanya vizuri katika michezo ya Ngao ya Jamii, itashuka dimbani kupambana na wana lambalamba Azam FC huku ikiwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani