Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moshi wapanga kutumia Sh57 bilioni 2014/15

Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, imekusudia kutumia Sh57.35 bilioni katika Mwaka wa Fedha 2014/15 kwa ajili ya shughuli za maendeleo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YATARAJIA KUTUMIA SHILINGI BILIONI 955.934 KATIKA MWAKA WA FEDHA 2014/2015

Waziri wa Mambo ya Ndani yaNchi, Mathias Chikawe akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo katika Kikao cha Pili cha Baraza hilo kilichofanyika Giraffe Hotel jijini Dar es Salaam leo. Katika kikao hicho, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imependekeza kutumia Shilingi Bilioni 955.934 katika Mwaka wa Fedha 2014/2015. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Sehemu ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakimsikiliza kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Nyota wa Cameroon wapanga matokeo

>Shirikisho la Soka la Cameroon (Fecafoot) limeanzisha uchunguzi wa madai kuwa wachezaji wake saba walijihusisha na kupanga matokeo ya mechi zao za Kombe la Dunia nchini Brazil.

 

11 years ago

Mwananchi

Bumbuli kutumia Sh24 bilioni

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya Bumbuli limepitisha mapendekezo ya bajeti kwa ajili ya mwaka 2014/2015, imefahamika.

 

11 years ago

Michuzi

COMPASSION KUTUMIA BILIONI 41.8 KWA MIRADI

Mkurugenzi wa shirika la Compassion Tanzania,Mchungaji Joseph Mayala alipokuwa akizindua miradi mbalimbali Iringa. (picha na Denis Mlowe) ======  ======  =======
Na Denis Mlowe,Iringa.
SHIRIKA la kimataifa la Compassion linalofanya kazi na madhehebu ya Kikristo nchini linatarajia kutumia zaidi ya sh. Bilioni 41.8 hadi Juni mwaka huu katika kutekeleza miradi yake ikiwemo kuwasomesha  wanafunzi 70,087 wanaosoma shule na vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi.   Hayo yamesemwa na Mkurugenzi...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI KUTUMIA TSH. BILIONI 5 KUHUDUMIA KAMBI ZA MADAKTARI BINGWA WA MOYO

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 5 katika mwaka 2015/16 kwa ajili ya kuhudumia kambi za Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za matibabu ya magonjwa hayo kwa Watanzania.
Lengo la mkakati huo ni kuhakikisha Wagonjwa wengi wanahudumiwa katika kipindi kifupi pamoja na kupunguza gharama za kusafirisha wagonjwa nje ya nchi, ambao wengi wao husafiri kwa ajili ya matibabu ya magonjwa ya moyo, figo na...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) KUTUMIA BILIONI 293 KUANDIKISHA WAPIGA KURA

1Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akizunguza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya tume ya uchaguzi jijini Dar es salaam wakati alipozungumzia maandalizi ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura, kura ya maoni ya Katiba mpya na uchaguzi mkuu mwezi oktoba mwaka huu, kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Bw. Julius Mh.Julius Mallaba.2 Baadhi ya waadishi wa habari wakiwa katika kutano huo.

NA CHALILA KIBUDA ,GLOBU YA JAMII DAR


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la Helvetas kutumia Bilioni 2.7 kuwezesha Wanawake wa Singida katika kilimo cha Mboga na matunda

DSC05224

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Helvetas Tanzania, Daniel Kilimbiya, akitoa mada yake ya utambulisho wa mradi wa awamu ya pili wa kuwawezesha wanawake kulima mboga mboga na matunda ili waweze kujikomboa kiuchumi. Semina hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aqua Vitae mjini hapa, ilihudhurudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo kutoka wilaya ya Singida vijijini, Iramba na Mkalama.

DSC05204

Meneja SIDO mkoa wa Singida Shoma Kibende, akitoa nasaha zake kwenye semina ya siku...

 

10 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali

4.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.

Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.

TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani