Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MOTO ULIVYOTEKETEZA TIMERS LOUNGE & BAR JIJINI NAIROBI

Moto ukiteketeza jengo la Timers Lounge & Bar jijini Nairobi. Wananchi wakishuhudia jengo hilo likiungua. Jengo hilo likizidi…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MOTO ULIVYOTEKETEZA VYUMBA VITATU JIJINI DAR

FAMILIA moja iliyopo maeneo ya Uwanja wa Tip Sinza, jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2014 imejikuta ikipata wakati mgumu baada ya vyumba vitatu walivyokuwa wanaishi kuteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa. Chanzo cha moto huo ilikuwa ni shoti ya umeme. Ungana na Global TV kujua kilichotokea eneo hilo la tukio.

 

11 years ago

CloudsFM

MOTO ULIVYOTEKETEZA SOKO LA KARUME MCHIKICHINI,DAR

Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam ambalo linateketea na moto usiku WA JANA. Taarifa zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.

 

10 years ago

Michuzi

MOTO WATETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI LIJULIKANALO KAMA MT.MERU CURIOS & CRAFTS MARKET JIJINI ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo ameagiza uchunguzi wa kina kufanyika kufuatia soko la wafanyabiashara wa Vinyago na bidhaa mbalimbali za kitalii la Maasai Market kuteketea kwa moto.


Mulongo ambaye alifatana na kamati ya Ulinzi na Usalama alishangaa kuona maduka hayo ambayo yapo jirani na Kikosi cha Zima Moto kushindwa kuzima moto na kusababisha hasara kwa wananchi.


"Sitakubali kuona uzembe unaendelea katika mkoa wetu,lazima watu wawajibishwe kwa uzembe hasa Kikosi cha kuzima moto...

 

11 years ago

Michuzi

oldies & old scul kila ijumaa na jumamosi ndani ya isumba lounge

Je wewe ni mpenzi wa oldies/old scul na unazitambua vizuri? Kama jibu ni YES basi ungana na The legends DJ JD na DJ Fast Eddie kila ijumaa na jumamosi ndani ya isumba lounge kuanzia saa 3 usiku; kiingilio 10000/- tu .Zawadi zitatolewa kwa atakaetambua jina na muimbaji wa song of the night. ungana na DJ JD kupitia facebook.johndilinga.com pls like page

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani