Moto wateketeza maduka, nyumba Tanga
NA AMINA OMARI, HANDENI
NYUMBA nane na maduka 30 vimeteketea kwa moto baada ya gari la mafuta lenye namba za usajili T 870 NFB kugonga nguzo ya umeme na mafuta kumwagika hali iliyosababisha kulipuka kwa moto.
Moto huo ulitokea jana katika eneo la Kivesa, barabara ya kuelekea Songe wilayani Handeni.
Imeelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliosababisha lori hilo kupinduka na mafuta kumwagika jirani na makazi ya watu kabla ya kuanza kusambaa barabarani.
Wakizungumza na MTANZANIA,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Moto wateketeza maduka Tanga
MADUKA manne yameteketea kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme barabara ya 14 jirani na stendi ya mabasi yaendayo mikoani jijini Tanga, usiku wa kuamkia jana. Moto huo uliozuka majira...
11 years ago
Habarileo17 Jul
Moto wateketeza nyumba, maduka Dar
NYUMBA moja imeteketea kwa moto na nyingine vyumba viwili wakati moto huo ulipozuka ghafla kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam jana. Katika tukio la kwanza, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema moto uliteketeza nyumba moja yenye vyumba 12 eneo la Mwananyamala A juzi saa 5.30 asubuhi.
11 years ago
Habarileo22 Apr
Moto wateketeza maduka, nyumba ya Mbunge Makilagi
MOTO umezuka mjini Dodoma na kusababisha maafa katika maeneo mbalimbali ikiwemo nyumba ya Mbunge wa Viti Maalumu, Amina Makilagi iliyoteketea na mali mbalimbali.
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Moto wateketeza maduka sita K’ndoni
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Moto wateketeza maduka 18, magari na pikipiki Handeni
11 years ago
GPLMOTO WATEKETEZA MADUKA MANZESE DARAJANI DAR!
10 years ago
GPLMOTO WATEKETEZA VIWANDA, MADUKA ENEO LA KIBANGU JIJINI DAR
11 years ago
MichuziMoto wa wateketeza maduka matatu na mgahawa mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo
11 years ago
GPLMOTO WATEKETEZA NYUMBA TATU MWANANYAMALA