Mourinho:Drogba bado ana makali
Jose Mourinho anaamini kuwa Didier Drogba angali mmoja wa wachezaji bora zaidi duniani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71688000/jpg/_71688849_71688511.jpg)
Mourinho wants Drogba reunion
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76511000/jpg/_76511692_dider_drogba_gettty.jpg)
Drogba belongs at Blues - Mourinho
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Mourinho : Drogba ni Chelsea damu.
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Mourinho ampa dili la mwaka Drogba
10 years ago
GPL22 Oct
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Drogba aonyesha kuwa bado mkali
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
Mourinho amuomba Abramovich ampe muda zaidi kurudisha makali ya Chelsea
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho.
Na Rabbi Hume
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amemuomba mmiliki wa Chelsea, Roman Abramovich muda zaidi wa kukijenga kikosi chake kufuatia kuanza msimu wa 2015/2016 vibaya.
Taarifa zinasema Mourinho amefikia uamuzi wa kumuomba muda tajiri huyo kutokana na matokeo anayopata na anachohitaji ni muda ili asubiri dirisha la usajiri la January.
Taarifa hizo zinasema Mourinho anataka kufanya usajili kwa kutoa wachezaji ambao anaona hawana uwezo wa kucheza kwenye...
10 years ago
Habarileo05 Aug
Malima bado ana matumaini Mkuranga
NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima anayeripotiwa kushindwa katika kura za maoni jimboni kwake Mkuranga, amesema ingawa matokeo yametangazwa, lakini yameonekana yana utata na hivyo kuanza upya kazi ya kupitia kura zote, ikitokea ameshindwa kamwe hatafikiria kukiacha chama tawala, CCM.
10 years ago
Bongo Movies16 Jun
Linah Bado Ana Dukuduku na Wema
Siku chache baada kuenea kwa taarifa za kuporwa bwana na Wema Sepetu, staa wa Bongo Fleva Esterlinah Sanga ‘Linah’ amefunguka kuwa bado ana dukuduku kubwa moyoni ambalo anajipanga hivi karibuni kulianaika hadharani kwa njia ya tamko rasmi ambalo atalitoa kwa njia hiyo hiyo ya mtandao
Kwa mujibu wa linah ,amesema kuwa tamko hilokwa sehemu linahusiana na tuhuma za kulalamika kuibiwa bwana, kitu ambacho kinaendelea akiwa haoni sababu ya kuendelea kukaa kimya zaidi na kuumia roho.
Linah...