Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho:Drogba bado ana makali

Jose Mourinho anaamini kuwa Didier Drogba angali mmoja wa wachezaji bora zaidi duniani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Mourinho wants Drogba reunion

Chelsea boss Jose Mourinho wants to be paired with Didier Drogba's Galatasaray in the Champions League last 16.

 

11 years ago

BBC

Drogba belongs at Blues - Mourinho

Chelsea boss Jose Mourinho says Ivorian Didier Drogba "belongs" at the club as he considers re-signing the Galatasaray striker.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho : Drogba ni Chelsea damu.

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa Drogba ni Chelsea damu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mourinho ampa dili la mwaka Drogba

Mshambuliaji Didier Drogba amesaini mkataba wa mwaka mmoja na Chelsea.

 

10 years ago

Mwananchi

Drogba aonyesha kuwa bado mkali

Ya kale dhahabu. Ndivyo unavyoweza kumwelezea Didier Drogba baada ya juzi usiku kuiongoza Chelsea kufuzu kucheza robo fainali ya Kombe la Ligi ‘Capital One’ kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mourinho amuomba Abramovich ampe muda zaidi kurudisha makali ya Chelsea

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho.

Na Rabbi Hume

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amemuomba mmiliki wa Chelsea, Roman Abramovich muda zaidi wa kukijenga kikosi chake kufuatia kuanza msimu wa 2015/2016 vibaya.

Taarifa zinasema Mourinho amefikia uamuzi wa kumuomba muda tajiri huyo kutokana na matokeo anayopata na anachohitaji ni muda ili asubiri dirisha la usajiri la January.

Taarifa hizo zinasema Mourinho anataka kufanya usajili kwa kutoa wachezaji ambao anaona hawana uwezo wa kucheza kwenye...

 

10 years ago

Habarileo

Malima bado ana matumaini Mkuranga

NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima anayeripotiwa kushindwa katika kura za maoni jimboni kwake Mkuranga, amesema ingawa matokeo yametangazwa, lakini yameonekana yana utata na hivyo kuanza upya kazi ya kupitia kura zote, ikitokea ameshindwa kamwe hatafikiria kukiacha chama tawala, CCM.

 

10 years ago

Bongo Movies

Linah Bado Ana Dukuduku na Wema

Siku chache baada kuenea kwa taarifa za kuporwa bwana na Wema Sepetu, staa wa Bongo Fleva Esterlinah Sanga ‘Linah’ amefunguka kuwa bado ana dukuduku kubwa moyoni ambalo anajipanga hivi karibuni kulianaika hadharani kwa njia ya tamko rasmi ambalo atalitoa kwa njia hiyo hiyo ya mtandao

Kwa mujibu wa linah ,amesema kuwa tamko hilokwa sehemu linahusiana na tuhuma za kulalamika kuibiwa  bwana, kitu ambacho kinaendelea akiwa haoni sababu ya kuendelea kukaa kimya zaidi na kuumia roho.

Linah...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani