Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Drogba aonyesha kuwa bado mkali

Ya kale dhahabu. Ndivyo unavyoweza kumwelezea Didier Drogba baada ya juzi usiku kuiongoza Chelsea kufuzu kucheza robo fainali ya Kombe la Ligi ‘Capital One’ kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

dris Mshindi wa BBA Aonyesha Nyumba yake Aliyonunua na Kutoa Ujumbe Mkali kwa Mashabiki wake

"I have seen thousands of people through my life time, got helped and expected to do alot in return, broken and crushed with no one to pick me up. I have struggled from ground level with all sorts of sayings like "you will never make it" to where i am now. I have shaken millions of hands not knowing who has good intentions with me. The world is for everyone who has a dream and a good will to it. The world is for all who want to change lives and make people smile. The world full of good...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Drogba bado ana makali

Jose Mourinho anaamini kuwa Didier Drogba angali mmoja wa wachezaji bora zaidi duniani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Drogba anataka kuwa kocha wa Chelsea

Mshambulizi wa zamani wa Chelsea na Ivory Coast Didier Drogba amesema kuwa atarejea Stamford Bridge kuwa kocha.

 

10 years ago

Habarileo

Mjadala mkali wabunge kuteuliwa kuwa mawaziri

SUALA la mawaziri kuwa wabunge au hapana, limezua mjadala mkali katika vikao vya kamati mbalimbali za Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini hapa. Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 10, Salmin Awadhi Salmin, alisema katika kamati yake mjadala kuhusu Rasimu ya Katiba ni mzuri na wajumbe wamekuwa wakitoa hoja mbalimbali za kuiboresha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nape: Ridhiwani kuwa mkali kwa mawaziri

KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye, amemtaka mgombea ubunge wa jimbo hilo, Ridhiwani Kikwete, kuwa mkali na kuwafuatilia mawaziri ili kuhakikisha utekelezaji wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Safari ya Mwanza kuwa mji wa utalii bado

Nashukuru kwa simu chache nilizopata kutokana na makala yangu ya wiki iliyopita ambayo ilizungumzia Mwanza ina uwezo wa kuwa mji wa kiutalii, lakini mpaka sasa hakuna matangazo ya kutosha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani