Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape: Ridhiwani kuwa mkali kwa mawaziri

KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye, amemtaka mgombea ubunge wa jimbo hilo, Ridhiwani Kikwete, kuwa mkali na kuwafuatilia mawaziri ili kuhakikisha utekelezaji wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mjadala mkali wabunge kuteuliwa kuwa mawaziri

SUALA la mawaziri kuwa wabunge au hapana, limezua mjadala mkali katika vikao vya kamati mbalimbali za Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini hapa. Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 10, Salmin Awadhi Salmin, alisema katika kamati yake mjadala kuhusu Rasimu ya Katiba ni mzuri na wajumbe wamekuwa wakitoa hoja mbalimbali za kuiboresha.

 

11 years ago

Michuzi

NAPE AMNADI RIDHIWANI KIKWETE KWA WANA CHALINZE

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Mkoko wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni za kumnadi kumgombea Ubunge jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete ambapo wananchi hao walielezwa kitendo cha kuzuiwa kupiga kura ni sawa na ubakaji wa Demokrasia na CCM itakula sambamba na wabakaji wa Demokrasia.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndiye Mratibu wa kampeni za mgombea wa CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akionyesha...

 

11 years ago

GPL

NAPE: KURUDISHWA KWA MAWAZIRI MIZIGO NI KUWAPA MUDA WAREKEBISHE MAPUNGUFU YAO

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, Dar. Mara baada ya kuundwa kwa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg. Abdulrahman Kinana mwanzoni mwaka mwaka jana, Sekretarieti hiyo imejiwekea utaratibu wa kufanya ziara mikoani kukutana na wananchi kusikiliza kero zao, kukagua utekelezaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Nape afurahia mawaziri kuondolewa madarakani

>Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye ameeleza kupokea kwa faraja, hatua ya mawaziri wanne kuenguliwa nyadhifa zao kwa ridhaa ya Rais Jakaya Kikwete.

 

10 years ago

Mwananchi

Drogba aonyesha kuwa bado mkali

Ya kale dhahabu. Ndivyo unavyoweza kumwelezea Didier Drogba baada ya juzi usiku kuiongoza Chelsea kufuzu kucheza robo fainali ya Kombe la Ligi ‘Capital One’ kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani