Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape afurahia mawaziri kuondolewa madarakani

>Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye ameeleza kupokea kwa faraja, hatua ya mawaziri wanne kuenguliwa nyadhifa zao kwa ridhaa ya Rais Jakaya Kikwete.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wabunge hawataki kuondolewa madarakani

NI wazi kwamba wabunge hawataki Katiba iwape nguvu wananchi ya kuwaondoa madarakani pale wanaposhindwa kutekeleza majukumu yao, kutokana na jana kamati karibia zote ambazo ziliwasilisha taarifa zake zimependekeza ibara hiyo iliyoko kwenye rasimu ya Katiba ifutwe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nape: Ridhiwani kuwa mkali kwa mawaziri

KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye, amemtaka mgombea ubunge wa jimbo hilo, Ridhiwani Kikwete, kuwa mkali na kuwafuatilia mawaziri ili kuhakikisha utekelezaji wa...

 

11 years ago

GPL

NAPE: KURUDISHWA KWA MAWAZIRI MIZIGO NI KUWAPA MUDA WAREKEBISHE MAPUNGUFU YAO

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, Dar. Mara baada ya kuundwa kwa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg. Abdulrahman Kinana mwanzoni mwaka mwaka jana, Sekretarieti hiyo imejiwekea utaratibu wa kufanya ziara mikoani kukutana na wananchi kusikiliza kero zao, kukagua utekelezaji...

 

11 years ago

GPL

UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI WAPYA

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Sefue Ombeni. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:- 1.0 OFISI YA RAIS
Hakuna mabadiliko. 2.0 OFISI YA MAKAMU WA RAIS
2.1 Waziri wa… ...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Lowassa afurahia tuzo

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ameishutumu serikali kwa kuwakataza kufanya mikutano ya kuwashukuru wananchi na ameifananisha hatua hiyo sawa na uoga usio na msingi.Akizungumza kupitia taarifa iliyotolewa na msemaji wake, Aboubakary Liongo, Lowassa alisema kuzuiwa kwake na upinzani kuzunguka nchi nzima

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa afurahia hali ya chakula

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza kufurahishwa na hali ya chakula mkoani Ruvuma, ikiwa kati ya mikoa inayotegemewa kwa uzalishaji wa chakula kwa wingi nchini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kikwete afurahia alivyoanza Magufuli

Rais aliyeondoka mamlakani majuzi nchi Tanzania amesifu jinsi Rais mpya John Magufuli alivyoanza kazi na kumtaka aendelee vivyo hivyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani