Wabunge hawataki kuondolewa madarakani
NI wazi kwamba wabunge hawataki Katiba iwape nguvu wananchi ya kuwaondoa madarakani pale wanaposhindwa kutekeleza majukumu yao, kutokana na jana kamati karibia zote ambazo ziliwasilisha taarifa zake zimependekeza ibara hiyo iliyoko kwenye rasimu ya Katiba ifutwe.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Nape afurahia mawaziri kuondolewa madarakani
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Dk. Slaa: Wapinzani hawataki kuvunja Muungano
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kufahamu kuwa hakuna chama cha upinzani chenye lengo la kuvunja Muungano. Alisema maneno yanayoelezwa na wafuasi...
11 years ago
KwanzaJamii06 Aug
Miaka 41 Sasa Hawataki Kuhamia Dodoma
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Goa hawataki wapenzi kubusiana hadharani
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Utafiti: Watanzania hawataki Serikali kuingilia vyombo vya habari
Elias Msuya, Dar es Salaam
ASILIMIA 65 ya Watanzania wanapenda kuona vyombo vya habari vikichunguza ufisadi unaofanyika serikalini.
Hayo yamo katika ripoti ya Afrobarometer ya mwaka 2014, inayotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo na Kuondoa Umaskini (Repoa).
Ripoti hiyo, imekuja wiki chache baada ya Bunge la Tanzania kupitisha miswada ya Makosa ya Mtandao na Sheria ya Takwimu katika habari za mwaka 2015, zinazokosolewa na wadau, huku wakimshinikiza Rais Jakaya Kikwete asitie saini ili...
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Blaise Campaore:Nitasalia madarakani
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Salva Kiir atabaki zaidi madarakani
10 years ago
Habarileo08 Oct
Lipumba- Ni vigumu kuiondoa CCM madarakani
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekiri kwamba ni vigumu kuondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maradakani bila kuwa na umoja na mshikamano baina ya wanachama na viongozi.
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Spika Eala ang’olewa madarakani