Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blaise Campaore:Nitasalia madarakani

Rais Blaise Compaore wa Burkina Faso amesema atasalia madarakani kwa kipindi cha mpito cha miezi 12

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

The rise and fall of Blaise Compaore

How Burkina Faso's leader sparked his own fall from power

 

10 years ago

Tanzania Daima

BLAISE COMPAORE: Rais aliyeponzwa na mabadiliko ya Katiba

OKTOBA 31 mwaka huu, aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Burkina Faso, Jenerali Honore Traore alijitangaza kuwa Rais baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Blaise Compaore....

 

5 years ago

Get French Football News

Blaise Matuidi on COVID-19 diagnosis: “I typically have a positive attitude.”

Blaise Matuidi on COVID-19 diagnosis: “I typically have a positive attitude.”  Get French Football NewsFrance World Cup winner Blaise Matuidi tests positive for coronavirus  RFIMatuidi 2nd Juventus player with coronavirus  BeSoccer ENJuventus midfielder Matuidi tests positive for coronavirus  Goal.comMatuidi mood 'positive' despite coronavirus infection  RFIView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge hawataki kuondolewa madarakani

NI wazi kwamba wabunge hawataki Katiba iwape nguvu wananchi ya kuwaondoa madarakani pale wanaposhindwa kutekeleza majukumu yao, kutokana na jana kamati karibia zote ambazo ziliwasilisha taarifa zake zimependekeza ibara hiyo iliyoko kwenye rasimu ya Katiba ifutwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Nape afurahia mawaziri kuondolewa madarakani

>Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye ameeleza kupokea kwa faraja, hatua ya mawaziri wanne kuenguliwa nyadhifa zao kwa ridhaa ya Rais Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

Habarileo

CCM ikiingia madarakani bodaboda kurasimishwa

ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya awamu ya tano, imebainisha kuwa itarasimisha huduma za bodaboda na pikipiki za matairi matatu (bajaj), ili huduma hizo zitambulike kisheria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir atabaki zaidi madarakani

Sudan Kusini yaahirisha uchaguzi uliotarajiwa kufanywa kati ya mwaka kwa sababu yataka muda kujadili amani

 

10 years ago

Mwananchi

Spika Eala ang’olewa madarakani

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), jana walimng’oa madarakani Spika, Dk Margret Zziwa baada ya kukubaliana na mapendekezo ya Kamati ya Sheria, Kanuni na Madaraka ya Bunge kuwa amepoteza sifa za kuendelea kushikilia wadhifa huo.

 

10 years ago

Habarileo

Lipumba- Ni vigumu kuiondoa CCM madarakani

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekiri kwamba ni vigumu kuondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maradakani bila kuwa na umoja na mshikamano baina ya wanachama na viongozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani