Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Goa hawataki wapenzi kubusiana hadharani

Kijiji kimoja nchini India kilichoko pwani ya Goa kimeweka sheria ya kuzuia wanandoa ama wapenzi kubusiana hadharani .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

GOA HISTORY IN ZANZIBAR

The Goan presence in Zanzibar is now hundreds of years old . Though always small in numbers the enduring presence of talented Goan merchants, teachers and craftsmen allowed them to leave quite a mark on Zanzibar history and society.
A Goan presence in the early exploration of East Africa must also be noted. In 1856 the explorer Richard Burton traveled to Bombay with his second in command Lt John Hanning Speke, in order to obtain leave for Lt. Speke from the Indian Army. There Burton engaged...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao

Ripoti inasema kuwa asilimia 61 ya wanawake waliuawa na wanaume au waliuliwa na wapenzi wao wa sasa au wa zamani.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge hawataki kuondolewa madarakani

NI wazi kwamba wabunge hawataki Katiba iwape nguvu wananchi ya kuwaondoa madarakani pale wanaposhindwa kutekeleza majukumu yao, kutokana na jana kamati karibia zote ambazo ziliwasilisha taarifa zake zimependekeza ibara hiyo iliyoko kwenye rasimu ya Katiba ifutwe.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Miaka 41 Sasa Hawataki Kuhamia Dodoma

PAMOJA na kujinasibu kwamba Dodoma ndiyo Makao Makuu ya Serikali ya Tanzania, lakini inaonekana dhana hiyo ni ya kufikirika ambayo imejawa na matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi kwa miaka 39 sasa. Mwandishi Wetu DANIEL MBEGA anachambua kwa kina suala hilo na nini Watanzania wategemee. “MAJENGO yanazidi kufumuka kama uyoga, lakini viongozi wa serikali wanapenda anasa na kuamua kubaki Dar es Salaam upepo wa Pwani unakovuma, hawataki kuja kula vumbi la huku Dodoma,” Elibariki Njau (64)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Wapinzani hawataki kuvunja Muungano

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kufahamu kuwa hakuna chama cha upinzani chenye lengo la kuvunja Muungano. Alisema maneno yanayoelezwa na wafuasi...

 

10 years ago

Mtanzania

Utafiti: Watanzania hawataki Serikali kuingilia vyombo vya habari

Elias Msuya, Dar es Salaam
ASILIMIA 65 ya Watanzania wanapenda kuona vyombo vya habari vikichunguza ufisadi unaofanyika serikalini.
Hayo yamo katika ripoti ya Afrobarometer ya mwaka 2014, inayotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo na Kuondoa Umaskini (Repoa).
Ripoti hiyo, imekuja wiki chache baada ya Bunge la Tanzania kupitisha miswada ya Makosa ya Mtandao na Sheria ya Takwimu katika habari za mwaka 2015, zinazokosolewa na wadau, huku wakimshinikiza Rais Jakaya Kikwete asitie saini ili...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wa chakula karibuni

Baadhi hupiga picha chakula kama mchezo lakini kunao wanaoichukulia kama kazi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamume mwenye wapenzi 17,China.

Mwanamume mmoja nchini China, aliomba ardhi ipasuke baada ya kupata ajali na kutembelewa na mabibi zake kumi na saba, hospitali.

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani