Mpendazoe anadi mikakati yake
Mgombea wa nafasi ya makamu mwenyekiti wa Chadema, Fred Mpendazoe amesema akichaguliwa anahitaji kuhakikisha chama hicho kinaimarika kuanzia ngazi ya msingi ili kupata wanachama hai wanaoweza kukiinua katika uchaguzi mkuu ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Jun
Kikwete anadi mafanikio ya serikali yake India
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali yake kwa muda wa miaka 10 iliyowatumikia watanzania imefanikiwa katika nyanja mbalimbali za maendeleo ikilinganishwa na miaka ya nyuma.
11 years ago
Michuzi03 Aug
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R5HOuFiaa00/U6dItT5hI5I/AAAAAAAFsVA/u8C7EHmRbdo/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TFF YAELEZEA MIKAKATI YAKE BUNGENI
![](http://3.bp.blogspot.com/-R5HOuFiaa00/U6dItT5hI5I/AAAAAAAFsVA/u8C7EHmRbdo/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Katika kikao hicho TFF ilielezea mikakati yake ya maendeleo ya mpira wa miguu pamoja na maandalizi ya timu ya Taifa kwa ajili ya mchezo wake dhidi ya Msumbiji.
TFF iliiahidi Kamati ya Bunge kuwa itaendelea kuwa inafanya shughuli zake kwa karibu na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZjVkdhfGfyE/VJmFTfvbZ5I/AAAAAAAG5Y8/M1vrZpddWBI/s72-c/Untitled-1.jpg)
Katibu mkuu mpya wa Yanga atangaza mikakati yake ya kuhakikisha Klabu inajiendesha kiuchumi
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZjVkdhfGfyE/VJmFTfvbZ5I/AAAAAAAG5Y8/M1vrZpddWBI/s1600/Untitled-1.jpg)
Akizungumza Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Tiboraha alisema kuwa Yanga ni klabu kubwa hiyo ni wakati wa kujiendesha yenyewe badala ya kutegemea mtu binafsi na kwamba haiwezi kuwa na mikataba ambayo haikithi maslahi ya klabu hiyo.
"Yanga ni bidhaa inayojiunza yenyewe uwezi kuingia mkataba wake sawa na Stand United, haiwezekani...
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Mpendazoe ajinadi CHADEMA
ALIYEKUWA mgombea wa ubunge Segerea, Fred Mpendazoe, amejinadi kuhakikisha anaimarisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ikiwa atashinda nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho. Akizungumza jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Mpendazoe ataka kumrithi Arfi Chadema
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Fred Mpendazoe kumrithi Arfi Umakamu Chadema Bar?
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Fred Mpendazoe.
Na Mwandishi wetu
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Fred Mpendazoe amejitokeza kuwania nafasi ya Makamu mwenyekiti wa chama hicho.
Mpendazoe ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Kishapu kupitia CCM kabla ya kujiuzulu wadhifa huo na kujiunga na Chadema ametangaza msimamo wake akisema kuwa atasimamia ajenda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX0AGzxdooSXoFjBSZS-4ho5HWJHF*Qx1wH*pxWKNZ-FjHWq6HqVuc1IMuhD95Phk5OWAipokSBcJo4ZXjIkypyx/PENNY.jpg?width=650)
PENNY ANADI KITOVU CHAKE