Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPENZI WA JIM CARREY, CATHRIONA AZIKWA KARIBU NA BABA YAKE

Jim Carrey (katikati) na baadhi ya waomboleza wakibeba jeneza la aliyekuwa mpenzi wake, Cathrion White. Gari lenye mwili wa marehemu Cathriona. Watoto wa shule nao walikuwepo kumuaga Cathriona. …

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MPENZI WA MWIGIZAJI JIM CARREY AJIUA BAADA YA 'KUTEMWA'

Cathriona White  akiwa na aliyekuwa mpenzi wake ambaye ni mwigizaji maarufu wa filamu za Hollywood, Jim Carrey. Cathriona White enzi za uhai wake. ....Wakijiachia ufukweni. Nyumba ulimokutwa mwili wa marehemu Cathriona White…

 

10 years ago

GPL

BABA YAKE MKUDE AZIKWA JIJINI DAR

Mkude akiwa ameshikilia msalaba wa baba yake katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar leo jioni. Mkude akiweka shada la maua baada ya mazishi ya baba yake katika Makaburi ya Kinondoni, Dar. Makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ akiweka shada ya maua katika kaburi la mzee Gerald Mkude ambaye ni baba mzazi wa kiungo wa Simba, Jonas… ...

 

10 years ago

Michuzi

BABA YAKE DULLY SYKES AZIKWA JIONI HII KWENYE MAKABURI YA KISUTU,JIJINI DAR

Mwili wa baba wa msanii wa muziki wa kizazi kipya Dully Sykes,Marehemu Ebby Sykes ukiswaliwa nyumbani  kwa kaka wa marehemu maeneo ya Kawe jijini Dar leo mchana.Marehemu Ebby Sykes amezikwa jioni hii kwenye makabiri ya Kisutu. Mwili wa Marehemu Ebby Sykes ukipandishwa kwenye gari kwa safari ya kwenda kwenye mazishi,makaburi ya Kisutu jijini Dar jioni hii. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dully Sykes akiwa amepanda gari lililobeba mwili wa Marehemu baba yake kwa safari ya kwenda kupumzishwa...

 

10 years ago

GPL

BABA RICHIE AZIKWA JIJINI DAR

Single Mtambalike 'Richie'. Hatimaye baba wa msanii wa filamu, Single Mtambalike ‘Richie’, amezikwa leo katika Makaburi ya Segerea Dar. Alifariki jana, Tabata, Dar.

 

11 years ago

GPL

BABA WA BISHOP AZIKWA MAKABURI YA TEGETA

Bishop akiwa makaburini ameshika picha ya marehemu baba yake mzee Alec k Maiko Hiluka. Jeneza la marehemu likiwasili makaburini. Bishop akiwa…

 

10 years ago

Mtanzania

Baba wa Babu Tale azikwa Mkuyuni Morogoro

TaleNA THERESIA GASPER
BABA mzazi wa Meneja wa Abdul Nassib ‘Diamond’, Babu Tale, amezikwa jana kijijini kwao Mkuyuni, mjini Morogoro.
Baada ya mazishi hayo, baadhi ya wasindikizaji walirejea jijini Dar es Salaam kuendelea na shughuli zao na mipango mingine ya kumaliza msiba.
Msanii wa kundi hilo, Madee, alisema baada ya mazishi wote watarejea jijini Dar es Salaam, ambapo itasomwa dua ya kuhitimisha msiba huo nyumbani kwa Babu Tale, Magomeni Kagera.
“Tupo njiani kuelekea Morogoro kwa ajili ya...

 

9 years ago

Michuzi

MWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM, MAZISHI YAKE KUFANYIKA MBEYA LEO

 Marehemu Mzee Anyosisye Mwakyusa enzi za uhai wake. Mwili ukiondolewa kanisani.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

9 years ago

MillardAyo

Umeipata ya baba kuoa mpenzi wa mtoto wake? Imedakwa na ‘Hekaheka’ ya leo.. (+Audio)

Team nzima ya Leo Tena huwa inasogeza matukio mbalimbali ambayo yanatokea kwenye maisha ya mtaani ya kila siku kupitia ‘Hekaheka‘.. kona ya Hekaheka imekuja na stori ya kijana mmoja kutoka Moshi ambapo kijana huyo amekuta baba yake ameoa mchumba wake !! Jamaa huyo anasimulia kwamba alimtambulisha mpenzi wake kwa ndugu zake pamoja na baba yake, […]

The post Umeipata ya baba kuoa mpenzi wa mtoto wake? Imedakwa na ‘Hekaheka’ ya leo.. (+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

Bongo Movies

INASIKITISHA SANA: Mwanadada LULU afiwa na mpenzi wake LEO siku ya birthday yake

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mwanadada Elizabeth Michael – LULU ambaye leo anatimiza miaka 20 ya kuzaliwa amepata piga jingine baada ya kufiwa na mpezi wake aliyefahamika kwa jina la Seki (Pichani) aliyekuwa akiishi jijini Mwanza.

Badi hatujapata taarifa kamili juu ya sababu ya  kifo chake ila tutaendelea kuwajulisha pindi zitakapotufikia.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.

Pole sana Lulu. Mungu akutie nguvu. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani