MPENZI WA JIM CARREY, CATHRIONA AZIKWA KARIBU NA BABA YAKE
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/jimmy2211.jpg?width=650)
Jim Carrey (katikati) na baadhi ya waomboleza wakibeba jeneza la aliyekuwa mpenzi wake, Cathrion White. Gari lenye mwili wa marehemu Cathriona. Watoto wa shule nao walikuwepo kumuaga Cathriona. …
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JIM-2.jpg)
MPENZI WA MWIGIZAJI JIM CARREY AJIUA BAADA YA 'KUTEMWA'
10 years ago
GPLBABA YAKE MKUDE AZIKWA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziBABA YAKE DULLY SYKES AZIKWA JIONI HII KWENYE MAKABURI YA KISUTU,JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu0f7KmU*C6YeVk2Xo7UMqrue-vULIc73FNbLWvASdlGeG9hxRCFZjnVVeb4RByz-70UQ3SxgHP3b92idfUzQOXF/SingleMtambalike535.jpg?width=650)
BABA RICHIE AZIKWA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpytIvFYXldqCGGP8tmOC9YosAk87wSwUhdDICl3ZvZJCo1MO1sHUZnpozmr22ireEYQv2632*4qdYWMjxVnt2l6/1.jpg?width=650)
BABA WA BISHOP AZIKWA MAKABURI YA TEGETA
10 years ago
Mtanzania06 May
Baba wa Babu Tale azikwa Mkuyuni Morogoro
NA THERESIA GASPER
BABA mzazi wa Meneja wa Abdul Nassib ‘Diamond’, Babu Tale, amezikwa jana kijijini kwao Mkuyuni, mjini Morogoro.
Baada ya mazishi hayo, baadhi ya wasindikizaji walirejea jijini Dar es Salaam kuendelea na shughuli zao na mipango mingine ya kumaliza msiba.
Msanii wa kundi hilo, Madee, alisema baada ya mazishi wote watarejea jijini Dar es Salaam, ambapo itasomwa dua ya kuhitimisha msiba huo nyumbani kwa Babu Tale, Magomeni Kagera.
“Tupo njiani kuelekea Morogoro kwa ajili ya...
9 years ago
MichuziMWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM, MAZISHI YAKE KUFANYIKA MBEYA LEO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Umeipata ya baba kuoa mpenzi wa mtoto wake? Imedakwa na ‘Hekaheka’ ya leo.. (+Audio)
Team nzima ya Leo Tena huwa inasogeza matukio mbalimbali ambayo yanatokea kwenye maisha ya mtaani ya kila siku kupitia ‘Hekaheka‘.. kona ya Hekaheka imekuja na stori ya kijana mmoja kutoka Moshi ambapo kijana huyo amekuta baba yake ameoa mchumba wake !! Jamaa huyo anasimulia kwamba alimtambulisha mpenzi wake kwa ndugu zake pamoja na baba yake, […]
The post Umeipata ya baba kuoa mpenzi wa mtoto wake? Imedakwa na ‘Hekaheka’ ya leo.. (+Audio) appeared first on...
10 years ago
Bongo Movies16 Apr
INASIKITISHA SANA: Mwanadada LULU afiwa na mpenzi wake LEO siku ya birthday yake
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mwanadada Elizabeth Michael – LULU ambaye leo anatimiza miaka 20 ya kuzaliwa amepata piga jingine baada ya kufiwa na mpezi wake aliyefahamika kwa jina la Seki (Pichani) aliyekuwa akiishi jijini Mwanza.
Badi hatujapata taarifa kamili juu ya sababu ya kifo chake ila tutaendelea kuwajulisha pindi zitakapotufikia.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.
Pole sana Lulu. Mungu akutie nguvu.