Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BABA YAKE MKUDE AZIKWA JIJINI DAR

Mkude akiwa ameshikilia msalaba wa baba yake katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar leo jioni. Mkude akiweka shada la maua baada ya mazishi ya baba yake katika Makaburi ya Kinondoni, Dar. Makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ akiweka shada ya maua katika kaburi la mzee Gerald Mkude ambaye ni baba mzazi wa kiungo wa Simba, Jonas… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BABA YAKE DULLY SYKES AZIKWA JIONI HII KWENYE MAKABURI YA KISUTU,JIJINI DAR

Mwili wa baba wa msanii wa muziki wa kizazi kipya Dully Sykes,Marehemu Ebby Sykes ukiswaliwa nyumbani  kwa kaka wa marehemu maeneo ya Kawe jijini Dar leo mchana.Marehemu Ebby Sykes amezikwa jioni hii kwenye makabiri ya Kisutu. Mwili wa Marehemu Ebby Sykes ukipandishwa kwenye gari kwa safari ya kwenda kwenye mazishi,makaburi ya Kisutu jijini Dar jioni hii. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dully Sykes akiwa amepanda gari lililobeba mwili wa Marehemu baba yake kwa safari ya kwenda kupumzishwa...

 

10 years ago

GPL

BABA RICHIE AZIKWA JIJINI DAR

Single Mtambalike 'Richie'. Hatimaye baba wa msanii wa filamu, Single Mtambalike ‘Richie’, amezikwa leo katika Makaburi ya Segerea Dar. Alifariki jana, Tabata, Dar.

 

9 years ago

Michuzi

MWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM, MAZISHI YAKE KUFANYIKA MBEYA LEO

 Marehemu Mzee Anyosisye Mwakyusa enzi za uhai wake. Mwili ukiondolewa kanisani.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

9 years ago

GPL

MPENZI WA JIM CARREY, CATHRIONA AZIKWA KARIBU NA BABA YAKE

Jim Carrey (katikati) na baadhi ya waomboleza wakibeba jeneza la aliyekuwa mpenzi wake, Cathrion White. Gari lenye mwili wa marehemu Cathriona. Watoto wa shule nao walikuwepo kumuaga Cathriona. …

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AHANI MSIBA WA BABA YAKE ROSTAM AZIZI JIJINI DAR LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii.     - Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na waombolezaji waliofika  nyumbani kwa Rostam Azizi, Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo Mei 31, 2014 kwa ajili ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal alipohani msiba wa Baba yake Rostam Azizi Jijini Dar

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, jana Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii. (Picha na OMR).

2

heikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa, akitoa mawaidha wakati wa dua maalum iliyofanyika nyumbani kwa Rostam Azizi Oysterbay kumuombea Baba mzazi wa Rostam, aliyefariki katikati ya wiki...

 

9 years ago

GPL

MWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR, KUZIKWA MBEYA LEO‏

 Marehemu Mzee Anyosisye Mwakyusa enzi za uhai wake.  Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Anyosisye Mwakyusa, baba mzazi wa mwandishi mwandamizi wa gazeti la Jambo Leo, Peter Ambilikile, wakati wa ibada ya kumuombea iliyofanyika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Ubungo Kibangu Dar es Salaam jana, kabla ya kuusafirisha kwenda mkoani Mbeya kwa mazishi yatakayofanyika leo.… ...

 

10 years ago

GPL

BANZA STONE AZIKWA JIJINI DAR

Mamia ya Waumini wa Kiislam wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Ramadhan Masanja 'Banza Stone' wakati wakiutoa mwili huo nyumbani kwao kuelekea Msikitini kwa kuswaliwa na kisha kwenda kuuhifandi  kwenye Makaburi ya Sinza, Jijini Dar es salaam alasiri hii.

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani