BANZA STONE AZIKWA JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/YGRK3QDGhjBMrFXiO5KHBiI0F5h24K0PqYkuZU09ODUzw*c6tdXkmv7rsQPQucdQEzxP3it66pm*GiB4rjgnPMN7Sr-pg7V*/ArWBAjf5czyy_LMzr73Z49qwLyFu_dhXM7q9rRtyU_B.jpg)
Mamia ya Waumini wa Kiislam wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Ramadhan Masanja 'Banza Stone' wakati wakiutoa mwili huo nyumbani kwao kuelekea Msikitini kwa kuswaliwa na kisha kwenda kuuhifandi  kwenye Makaburi ya Sinza, Jijini Dar es salaam alasiri hii.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XGPUELD8rRc/Vaj7E4R03hI/AAAAAAAHqPg/9bHTVbqnxJ8/s72-c/20150717055204.jpg)
UP DATES: MSIBA WA BANZA STONE NYUMBANI KWAO SINZA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-XGPUELD8rRc/Vaj7E4R03hI/AAAAAAAHqPg/9bHTVbqnxJ8/s640/20150717055204.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1alDyW0Btnw/Vaj7E4R0cSI/AAAAAAAHqPk/BEaGxxny6ww/s640/20150717055203.jpg)
Mawasiliano yakiendelea kupeana taarifa na ndugu wengine.
![](http://3.bp.blogspot.com/-AN2gae_650o/Vaj7FAxpV1I/AAAAAAAHqPs/Dc0ubGe0hq0/s640/20150717055205.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XKUMdDpDbFM/VapaAbDN64I/AAAAAAAHqWQ/kTJCn8qanxI/s72-c/b5.jpg)
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-XKUMdDpDbFM/VapaAbDN64I/AAAAAAAHqWQ/kTJCn8qanxI/s640/b5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WWwDQ6g0heM/VapaCIjGUbI/AAAAAAAHqWc/KxmNknAURCI/s640/b6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5K_DpjCSaNI/VapaD8mAVfI/AAAAAAAHqWo/435Td19g5qg/s640/b8.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tLMe1DiHoHA/VapZloM_vCI/AAAAAAAHqVI/m856FA-Uo9I/s72-c/b1.jpg)
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa leo jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-tLMe1DiHoHA/VapZloM_vCI/AAAAAAAHqVI/m856FA-Uo9I/s640/b1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-ND0izCP6zzw/VapZ4Im8nxI/AAAAAAAHqV4/erlbWAEU3GY/s640/b2.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AJIUNGA NA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MWANAMUZIKI RAMADHANI MASANJA BANZA STONE ALIYEZIKWA JANA JIJINI DAR ES SALAAM
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika alipowasili kujiunga na familia na waombolezaji katika msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja "Banza Stone" Sinza Lion jijini Dar es salaam jana Jumamosi Julai 18, 2015.  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete…
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BkOjhKl2Ths/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbIJdC1DLPq0wWBtW3NW7Y*2B-oK2dC5XwpXC5PqC3dRcP-ZC451mlxKBgT4SPfER8qHTEQmIgJlFEzpAIK9b4aZ/10.jpg)
LINI BANZA STONE UTATUHURUMIA?
Mwanamuziki Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’. RAMADHANI Masanja ‘Banza Stone’ ni mwanamuziki mkubwa wa muziki wa dansi la kileo. Dansi la kileo ninamaanisha hili linalopigwa na bendi zinazochombeza na sebene za Kikongo. Sina uhakika sana, lakini sidhani kama itakuwa sahihi kwa shabiki wa muziki huu, kumuondoa Le General katika Tatu Bora, kama ataamua kuwapanga mastaa wake kwa namba, kutokana na uwezo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0UIAsZSo6K*2c1keocTVRrzZY5XsSt81UApEpBUpmf*MLuqEVsDw2VlPL7NuHSh*uS7bjp4XaPpZ*XSCQDGNYMR/banza.jpg)
BANZA STONE KUOA KIMYAKIMYA
Stori: Gladness Mallya
MWANAMUZIKI wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’ amefunguka kwamba ndoa yake itafanyika kimyakimya na hakuna msanii atakayeshiriki. Mwanamuziki wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza stone’. Akipiga stori na gazeti hili, Banza alisema ndoa yake haitakuwa na michango, kwani atamuita sheikh na watoto wa madrasa kwa ajili ya kupiga dufu, huku mama yake...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GWkEmfliqss/default.jpg)
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11252759_1270562932958122_6544080775110454403_n.jpg)
Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania