Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPENZI YUKO MBALI? SHEREHEKEA NAYE SIKUKUU KWA STAILI HII!

Leo nataka kuzungumzia namna unavyoweza kusherehekea Sikukuu ya Idd wakati mpenzi wako akiwa mbali na wewe. Nafanya hivi nikiamini wapo ambao wapenzi wao wako mbali na kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao hawawezi kujumuika nao. Najua namna ambavyo sikukuu inaweza kuwa mbaya kwa kiasi f’lani kwa kumkosa uliyetokea kumpenda lakini kwa kuwa imetokea hivyo, chukulia ni hali ya kawaida ila kuna mambo kadhaa ambayo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HATA KAMA YUKO MBALI, UNAWEZA KUWA KARIBU NAYE! - 3

TUNAENDELEA kujifunza mbinu za kumsogeza mwenzi wako karibu. Tumeshaona mengi katika matoleo yaliyopita. Rafiki zangu, wakati mwingine majukumu ya kikazi husababisha wenzi au wanandoa wakaa mbalimbali. Jambo hilo huwa changamoto kubwa sana kwa wengi, hushindwa kujua namna ya kuboresha uhusiano wao ili waweze kuendelea kuwa na uhusiano wenye nguvu. Katika matoleo yaliyopita tuliona jinsi mwanamke anavyoweza kufanya kwa mwanaume...

 

11 years ago

GPL

HATA KAMA YUKO MBALI, UNAWEZA KUWA KARIBU NAYE! - 2

UMBALI katika uhusiano, mara nyingi husababisha hofu. Fikra za usaliti hutawala sana kwa wenzi wanaoishi mbali. Lakini vipi, mwenzako asisafiri au asiishi mbali kwa kuhofia hayo wakati kitendo hicho kinasababishwa na jukumu la kikazi? Ndugu zangu, baadhi yetu, kama hatutakuwa makini, umbali huweza kuchochea usaliti. Lakini kuna njia ambazo zikitumika kwa usahihi, husaidia kuliweka penzi hai na kuzidi kuwa na mshawasha mkubwa....

 

9 years ago

Vijimambo

KWA STAILI HII KIPINDUPINDU HAKITATUACHA

 Maji ya shida, umeme kwa mgao, internet kwa vifurushi, daresalama mambo yake si salama, haya ndio yanayowakuta wakaazi wa daresalama. shida inapotokea wengine wananufaika, wengine wanahasirika, waburuta vitoroli kwao inakuwa neema, tenda za kuchota maji zinawaongezea kipato, lakini usalama wa maji hayo hauna uhakika wapi wameyapata, ugumu wa jibu  wasuali hilo, inawafanya wengine wakaze buti wakayatafute maji popote yalipo kwa gharama yoyote. PICHA NA VIJIMAMBO/KWANZA PRODUCTIONPamoja na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Njoo tuage mwezi Novemba kwa staili ya aina yake na Skylight Band ikiwemo Red carpet treatment, Ijumaa hii Thai Village

DSC_0016

Kutoka kushoto ni Dinga Mbepera, Aneth Kushaba AK47, Sam Mapenzi na Bella Kombo wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki ambapo ratiba ya Skylight Band wiki hii tukifunga mwezi Novemba kwa mwaka 2014 ni kama ifutavyo.

IJUMAA 28.11.14: Kama kawaida tunaaga mwezi aina yake, skylight friday ndani ya Thai village masaki,special show ya mwisho wa mwezi kuwashukuru wadau wetu, Kutakua na Red carpet treatment, kutakua free shots of...

 

10 years ago

GPL

NJOO TUAGE MWEZI NOVEMBA KWA STAILI YA AINA YAKE NA SKYLIGHT BAND IKIWEMO RED CARPET TREATMENT, IJUMAA HII THAI VILLAGE‏

Kutoka kushoto ni Dinga Mbepera, Aneth Kushaba AK47, Sam Mapenzi na Bella Kombo wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki ambapo ratiba ya Skylight Band wiki hii tukifunga mwezi Novemba kwa mwaka 2014 ni kama ifutavyo. Sam Mapenzi akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band ndani viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti na...

 

5 years ago

Michuzi

CRDB YADHAMIRIA KUINUA HALI ZA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA MIJINI NA VIJIJINI KWA KUIBUA MIRADI MBALI MBALI

Uongozi wa Benki ya CRDB Nchini umeazimia kuunga mkono Utekelezaji wa miradi mbali mbali ya Maendeleo inayowagusa moja kwa Moja Wananchi kwa kushirikiana na Serikali katika kuona ustawi wa Jamii Mjini na Vijijini unaimarika kila siku.

Akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Vuga Mjini Zanzibar Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo ya CRDB Bwana Abdulmajid Mussa Nsekela  amesema Benki hiyo iliyopata Tuzo ya Mfuko wa Kimataifa wa Mazingira itadhihirisha Utekelezaji...

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA MBALI UKISEMA KATULIA, HAKUSALITI, UNAJIPA MOYO TU!

Mchezo wa wapenzi kusalitiana umeshamiri sana kwenye jamii yetu. Ni kitu kinachouma sana lakini cha kushangaza imefika mahali watu wanaona ni cha kawaida kwa kuwa ni vigumu kumzuia mtu asikusaliti akiwa ameamua kufanya hivyo. Kamchezo haka kapo kwa jinsi zote lakini leo niwazungumzie wasichana ambao baadhi wamezidisha na kuwaogopesha wanaume wengi kujiingiza kwenye mapenzi. Tabia ya msichana kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja hasa...

 

9 years ago

Bongo5

Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)

Couple ya Shilole na Nuh Mziwanda sasa ni ngoma droo upande wa kuchora Tattoo za majina yao kwenye miili yao. Nuh ndiye aliyeanza kuchora tattoo kwenye mikono yake yote miwili. Tattoo ya kwanza ilikuwa ya jina la Shishi Bybee, na baadaye alikuja kuongeza Tattoo ya pili yenye sura ya Shishi. Mpenzi wake Shilole naye ameamua […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani