Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPIGAPICHA WA MLIMANI TV AAGWA, AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI DAR

Picha ya marehemu Bw. Maximilian Ngobe, enzi za uhai wake. Mke wa marehemu (mwenye kilemba cheupe) akimuaga mumewe, Maximilian Ngobe. Ndugu na jamaa wa karibu wakimfariji…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKE WA KITIME AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI DAR

Muonekano wa kaburi la marehemu Janeth Joan Kitime baada ya kuzikwa siku ya leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar. Mwanamuziki mkongwe, John Kitime akiweka maua katika kaburi la mke wake.…

 

10 years ago

Vijimambo

MAREHEMU ELIAS ANTHONY MAPUNDA AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI

1Kaka wa Marehemu Elias Anthony Mapunda Bw. Nesto Mapunda wa pili kutoka kulia na Mkewe Teddy Mapunda wakiwa wamesimama mbele ya jeneza la marehemu Anthony tayari kwa kiungia katika kanisa katoliki la Mtakatifu Matha Mikocheni kwa ajili ya misa maalum ya mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jana Fullshangwe inampa pole Ndugu Nesto Mapunda pamoja na ndugu na jamaa kwa kuondokewa na ndugu yao mpendwa marehemu Elias Anthony Mapunda. Wao walimpenda lakini mungu amempenda zaidi Mungu...

 

10 years ago

Michuzi

MARAEHEMU ELIAS ANTHONY MAPUNDA AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI

1
Kaka wa Marehemu Elias Anthony Mapunda Bw. Nesto Mapunda wa pili kutoka kulia na Mkewe Teddy Mapunda wakiwa wamesimama mbele ya jeneza la marehemu Anthony tayari kwa kiungia katika kanisa katoliki la Mtakatifu Matha Mikocheni kwa ajili ya misa maalum ya mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jana Fullshangwe inampa pole Ndugu Nesto Mapunda pamoja na ndugu na jamaa kwa kuondokewa na ndugu yao mpendwa marehemu Elias Anthony Mapunda. Wao walimpenda lakini mungu amempenda zaidi Mungu...

 

10 years ago

GPL

MAREHEMU ELIAS ANTHONY MAPUNDA AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI‏

Kaka wa Marehemu Elias Anthony Mapunda Bw. Nesto Mapunda wa pili kutoka kulia na Mkewe Teddy Mapunda wakiwa wamesimama mbele ya jeneza la marehemu Anthony tayari kwa kiungia katika kanisa katoliki la Mtakatifu Matha Mikocheni kwa ajili ya misa maalum ya mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jana Fullshangwe inampa pole Ndugu Nesto Mapunda pamoja na ndugu na jamaa kwa kuondokewa na ndugu yao mpendwa marehemu Elias...

 

10 years ago

GPL

SHEM KARENGA AZIKWA MAKABURI YA KISUTU, DAR

Wananchi wakiusitiri mwili wa marehemu Shem Karenga katika makaburi ya Kisutu, Dar jioni hii. HATIMAYE mwanamuziki nguli nchini aliyekuwa na umahiri wa kuimba na kucharaza gitaa la solo, Shem Ibrahim Karenga azikwa katika makaburi ya Kisutu, Dar jioni hii. Marehemu Karenga alifariki dunia jana katika Hospitali ya Amana, Dar alipokuwa akipatiwa matibabu. Mwenyezi Mungu Ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.… ...

 

10 years ago

GPL

AMIGOLAS AZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR

Mwili wa marehemu, Khamis Kayumbu ‘Amigolas’ ukiwasili nyumbani kwao Mburahati leo jijini Dar es Salam. Mjane wa marehemu, Bi Modesta Emmanuel akiwa amezimia msibani.…

 

11 years ago

GPL

PICHA YA KWANZA: MZEE SMALL AZIKWA MAKABURI YA SEGEREA, DAR

Mwili wa Mzee Small ukiwa kaburini. HATIMAYE mkongwe wa maigizo nchini, Mzee Small amezikwa katika makaburi ya Segerea, Dar ambapo mamia ya watu wamehudhuria maziko yake. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779)

 

10 years ago

Vijimambo

BRIGEDIA JENERALI ( MSTAAFU ) HASHIM MBITA AZIKWA MAKABURI YA KISUTU, JIJINI DAR

Viongozi mbali mbali wa Dini ya Kiislam wakishiriki pamoja na waumini wao kwenye Ibada ya kuuswalia mwili wa Marehemu Brigedia Jenerali(Mstaafu) Hashim Mbita kwenye Msikiti wa Mtoro, Kariakoo na baadae kwenda kuuhifadhi kwenye nyumba yake ya milele, Makaburi ya Kisutu, Jijini Dar es Salaam. Picha zote na Hamis Makuka.Maelfu ya waunini wa kiislam wakishiriki kuubeba mwili wa Marehemu Brigedia Jenerali(Mstaafu) Hashim Mbita wakati wakiutoa kwenye Msikiti wa Mtoro, Kariakoo na tayari kwa kwenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani