MR UWAZI AZIDI KUMWAGA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE DAR
Mr. Uwazi akitoa zawadi kwa mmoja wa wasomji wa Gazeti la Uwazi eneo la Bunju B, Dar. Mr. Uwazi akiendelea kumwaga zawadi kwa wadau mbalimbali wa Gazeti la Uwazi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMR.UWAZI AZIDI KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE JIJINI DAR
Mkazi wa Mbezi Mwisho akipozi na Mr.Uwazi baada ya kurudishiwa pesa yake aliyonunulia gazeti. Mr.Uwazi akiongea na msomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Mwisho huku akitoa maoni yake ya nini kifanyike ndani ya gazeti hilo ili liendelee kuwa bora.…
10 years ago
GPLMR.UWAZI AZIDI KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE
Mr.Uwazi akijiandaa kumpatia zawadi msomaji eneo la Temeke baada ya kumkuta akiwa na Gazeti la Uwazi Mizengwe. Mr. Uwazi akipozi na wasomaji wa Gazeti la Mizengwe …
11 years ago
GPLMR CHAMPIONI AZIDI KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE JIJINI DAR
Mr Championi (kushoto) akimpa zawadi mama baada ya kununua gazeti la Championi Shinda Mahera. Msomaji akijiandaa kujaza kuponi ya Championi Shinda Mahera maeneo ya Ubungo Stand.…
11 years ago
GPLUWAZI LATOA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE
Msomaji wa Gazeti la Uwazi akivaa tisheti aliyopewa na waandishi wa gazeti hilo kama zawadi baada ya kukutwa akisoma gazeti hilo maeneo ya Mbagala jijini Dar. Mr. Uwazi akimkabidhi msomaji zawadi ya sabuni kama motisha ya kusoma gazeti hilo. …
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Msomaji-wa-Gazeti-la-la-Uwazi-mkazi-wa-eneo-la-Buza-Bakwata-akipokea-zawadi-yake-ya-Sukari-kutoka-kwa-Mr.-Uwazianayeshudia-kulia-ni-Ofisa-Usambazaji-wa-GlobalYohana-Mkanda..jpg?width=650)
MR UWAZI AMWAGA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE
Msomaji wa Gazeti la Uwazi mkazi wa eneo la Buza-Bakwata akipokea zawadi ya sukari kutoka kwa Mr. Uwazi. Anayeshuhudia kulia ni Ofisa Usambazaji wa Global,Yohana Mkanda. Wadau wa gazeti la Uwazi wakipozi na Mr. Uwazi…
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/3.Mr_.Championi-akizidi-kugawa-zawadi-kwa-wasomaji-wake-waliokutwa-wakisoma-Gazeti-la-Uwazi-Mizengwe-eneo-la-Stendi-ya-Bagamoyo.-001.jpg)
MR. UWAZI AGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE BAGAMOYO
Mr.Uwazi alipotua stendi ya Bagamoyo kugawa zawadi kwa wasomaji wake. Msomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe akipozi na Mr.Uwazi huku akisoma gazeti lake kabla ya upatiwa zawadi.…
9 years ago
GPLUWAZI MIZENGWE LAGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE KIBAHA
Baadhi ya wasomaji wa gazeti la Uwazi-Mizengwe, muda mfupi baada ya kununua gazeti hilo.
Mmoja wa wateja hao akichukua gazeti hilo mezani kwa muuzaji.
Msomaji akisoma kurasa za ndani za gazeti hilo.
Msomaji akiwa…
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YmXyIaKf5VCexG0XGIcjo6BE9U*GctFlXbgyqGwgPeUlHJq57NMNV02K1DxssRFRqHUcHYVxr9dqP7xGcpEkysf/DkFadhili.gif?width=650)
DK. FADHILI KUMWAGA ZAWADI KWA WASOMAJI
Mwandishi wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Fadhili Emily amewataka wasomaji wa Magazeti Pendwa kukaa mkao wa kula kwani ataanza kutoa zawadi mbalimbali kupitia mashindano. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Dk. Fadhili ambaye amekuwa akidhamini mashindano mbalimbali ya magazeti ya Global Publishers, alisema kwa kuanzia, wasomaji wa Gazeti la Amani, watazawadiwa ‘flat screen’....
11 years ago
GPLMR CHAMPIONI AZIDI KUMWAGA ZAWADI JIJINI DAR
Mr Championi akiwa na mmoja wa wasomaji wa gazeti la Championi Jumamosi, ambaye alimkuta na anasoma gazeti hilo na kumzawadia zawadi. Mmoja wa wasomaji wa gazeti la Championi Jumamosi akipewa zawadi na Mr Championi.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania