Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mradi hewa wa Mbuni wamtia mashakani Afrika:K

Evans alidanganya wawekezaji 87 na kuwaibia Pauni 900,000, katika kile alichodai kuwa mradi wa Mbuni Kusini mwa Wales.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mzaha wamtia mashakani mwanasayansi

Mwanasayansi wa Uingereza Sir Tim Hunt amejiuzulu baada ya kutoa tamko la mzaha kuhusu wanawake.Mshindi huyo wa taji la Nobel alisema kuwa wanawake huwapenda wanaume wanaofanya kazi nao kwa urahisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulevi wamtia mashakani Phelps

Muogeleaji bingwa wa Olimpiki nchini Marekani,Michael Phelps, amekamatwa kwa kundesha gari akiwa mlevi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mvinyo wamtia mashakani kiongozi Australia

Kiongozi mmoja nchini Australia, amejiuzulu baada ya kukana kuwa alipata zawadi ya mvinyo yenye thamani ya dola 2,800.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzaha wamtia mashakani rais wa Bolivia

Rais wa Bolivia Evo Morales ameomba msamaha kwa kufanya mzaha kuhusu uwezekano wa waziri wake wa afya Ariana Campero kuwa mpenzi wa jinsia moja.

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA ARUSHA AAGIZA MAMLAKA ZA HALI YA HEWA KUSINI MWA AFRIKA KUSHIRIKIANA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA KANDA YA SADC

Mamlaka ya Hali ya Hewa kwa niaba ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa mwenyeji wa mkutano wa kila mwaka wa umoja wa taasis za hali ya hewa katika nchi za Kusini mwa Afrika (MASA).
Mkutano huo unafanyika mkoani Arusha. Akifungua mkutano huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Jowika W. Kasunga alizitaka taasis za hali ya hewa kusini mwa Afrika ikiwemo TMA kushirikiana katika kutatua changamoto zinazoikabili...

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA:Viongozi 2 Afrika Kusini mashakani

Kiongozi wa maandalizi ya kombe la dunia nchini Afrika Kusini mwaka 2010 ni miongoni mwa maafisa wawili wakuu waliotajwa katika malalamishi ya uhalifu yanayodai kufanyika kwa ufisadi katika kura ya FIFA ilioamua atakayeandaa dimba hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Dr. Agnes Kijazi, TMA Director General and Permanent Representative of Tanzania with the World Meteorological Organization (WMO) and Dr. Rob Varley, the UK Met Office Chief Executive Officer and Permanent Representative of UK with WMO signed a memorandum of understanding for a joint project in support of Climate Service Development in Tanzania. The signing ceremony was witnessed by Dr. Ladislaus Chang’a, TMA Director of Research and Applied Meteorology and Ms. Jane Wardley from the UK Met...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Ofisi ya Hali ya Hewa ya Uingereza (UK Met Office) wamesaini mkataba wa makubaliano ya uboreshaji huduma za hali ya hewa hapa nchini. Mkataba huo umesainiwa tarehe 11 Novemba, 2014 wakati wa kikao cha masuala ya hali ya hewa (IBCS) kilichofanyika mjini Geneva Uswiss.
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...

 

9 years ago

Mwananchi

Vifaa vya hali ya hewa tatizo Afrika

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Dk Agnes Kijazi amesema nchi za Afrika zina upungufu wa vifaa vya  kutambua mvua zitakazonyesha kama ni El Nino.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani