Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MRADI WA VETA, VSO NA LNG TANZANIA WASHINDA TUZO YA BRITISH GAS

Tuzo iliyotolewa kwa Mradi wa EEVT baada ya kupata ushindi katika eneo la Mazingira na Huduma kwa Jamii. Afisa Mtendaji Mkuu wa BG Bw. Helge Lund akizungumza na washiriki wa hafla hiyo ya kutunuku tuzo kwa washindi iliyofanyika Kensington Palace nchini Uingereza hivi karibuni. Mkurugenzi wa VETA kanda ya Kusini Mashariki Joseph Kibehele (watatu kutoka kushoto) akiwa ameshikilia tuzo hiyo katika picha ya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa BG Bw. Helge Lund (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

British High Commission, Tanzania, Welcomes Oil and Gas Mission from Scotland


Education and training opportunities in Mozambique and Tanzania
With some of the largest offshore gas fields in the world, no local supply chain and an immediate and significant demand for skilled workers, East Africa can benefit from the expertise of the UK’s oil and gas sector.
Twelve UK organisations – from business and academia – with an interest in the oil and gas sector, headed to Mozambique on 18 March and arrive in Tanzania on 24th and partnerships in these exciting new...

 

10 years ago

GPL

VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA

Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ufundi Stadi-VETA Leah Lukindo akizungumza wakati akifungua rasmi warsha hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Giraffe-Dar esSalaam. Washiriki wa warsha hiyo ambao ni wadau wa viwanda vya umeme na magari wakisikiliza kwa makini hotuba ya mgeni rasmi.…

 

10 years ago

Michuzi

VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA) imekutana na wadau wa viwanda vya umeme na magari jijini Dar es Salaam kujadili utekelezaji wa mradi wa mafunzo yanayotolewa na VETA kwa kushirikiana na viwanda ujulikanao kama Dual Apprenticeship Training Project.
Mradi huo uliopo kwenye majaribio tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011 kwa ushirikiano kati ya Hamburg Chamber of Skills Craft ya Ujerumani na VETA,unalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa vitendo kwa...

 

5 years ago

Michuzi

ZOEZI LA ULIPAJI FIDIA MRADI WA LNG LINDI LASHIKA KASI

Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) imeanza kutekeleza zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi ambao wanaguswa na mradi wa uchakataji na usindikaji wa gesi asilia (LNG) Mkoani Lindi. 
Mradi huo ambao unagusa Mitaa mitatu ya Likong’o, Masasi ya Leo na Mto Mkavu unachukua eneo lenye ukubwa wa hekta 2,071.7, ambapo Serikali imetoa kiasi cha Shilingi Bilioni 5.2 kwa ajili ya kufidia wanachi 693 ambao wanaguswa na mradi huo. Eneo ambalo kiwanda cha LNG kinatarajiwa...

 

10 years ago

TheCitizen

Shell acquires British Gas for $70bn

Tanzania’s dream of being the first country in East and Central Africa to have a liquefied natural gas (LNG) plant may take longer than expected following yesterday’s move by one of the key partners in the planned project to be acquired by a Dutch firm.

 

11 years ago

TheCitizen

Mabanga defeats Ophir, British Gas in round one

>Leading oil and gas exploration firm, Ophir Energy, has suffered a legal setback after the High Court rejected its request to block hearing of a multi-billion-shilling suit against the company and its partners.

 

11 years ago

KwanzaJamii

British Gas yet to inform TPDC of 60 pct stake sale

The Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is yet to receive official statement of the intent by the UK’s firm – British Gas – to sell its entire 60 percent stake in an exploration area in Tanzania. Media reports said this week that BG Group has quietly begun looking for a buyer for part of its prized Tanzanian operations located on Block 3, while holding on to Blocks 1 and 4. TPDC Acting Manager for Communication Sebastian Shame said the petroleum corporation is yet to...

 

10 years ago

TheCitizen

TanzaniaZ fixer moves to block $70bn British Gas deal

Tanzanian fixer and businessman Moto Mabanga is threatening to block the recent $70 billion deal in which Royal Dutch Shell announced it had taken over British Gas.

 

11 years ago

TheCitizen

Businessman in dispute with british firm over gas blocs seeks court reliefs

 A Tanzanian businessman, suing a leading oil and gas exploration firm Ophir Energy over interests in three gas blocs, has asked the High Court to disregard a judgment of an English court in deciding his case.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani