Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


msaada kwenye tuta: Shairi

Naomba kama kuna mdau mwenye kumbukumbu na mashairi haya aendeleze beti hizi.
1. Karudi baba mmoja toka safari ya mbali Kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili Watoto wke wakaja ili kumtaka hali Wakataka na kauli ili iwafae maishani
Akatamka mgonjwa ninaumwa kwelikweli Hata kama nikichanjwa haitoki homa kali Roho naona yachinjwa kifo kimenikabili Kama mwataka kauli semeni niseme nini
Yakawatoka kinywani maneno yenye akili Baba yetu wa thamani sisi tunataka mali Urithi tunatamani mali...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MSAADA KWENYE TUTA

Wadau wa kiswahili naomba masaada wa usahihi wa neno Turubai kuna wengine nimesikikia wakiita turubali kitu ambacho kilileta ubishi mwingi kuhusiana na usahii wa neno lenyewe. Je usahihi ni nini ni TURUBAI au TURUBALI asante

 

10 years ago

Vijimambo

MSAADA KWENYE TUTA TAFADHALI

Kuna siku nilihudhuria harusi moja kanisani na kitu kimoja kilinishangaza na kunifanya niwe na maswali mengi yasiyokua na majibu.
Siku hiyo Bwana harusi mtarajiwa aliwahi kanisani kama kawaida akiwemo bi harusi mtarajiwa nae alifika kanisani kwa muda unaotakiwa lakini gari lililomleta lilitakiwa kufuata watu wengine kwa ajili ya na kuwaleta kanisani na kwa maana hiyo harusi ndoa ingeweza fungwishwa mpaka watu hao wafike.
Bi. harusi mtarajiwa aliambiwa aningie ndani kanisani lakini aende nyuma...

 

10 years ago

Michuzi

SHAIRI: Ajali za barabarani

Ajali za barabarani!
Ninalianza shairi, kwa majonzi ya dhahiri,Kwa kuwa tena si siri, ajali zimekithiri,Zaua kwa utitiri, hii sasa ni hatari,Ajali barabarani, ni hasara kwa taifa.
Nianze na madereva, kisha nimvae Kova,Unapokua dereva, tunahisi umeiva,Si mambo ya kujilevya, na kuua kina Eva,Ajali barabarani, ni hasara kwa taifa.
Umakini safarini, ndio nyenzo namba wani,Sheria barabarani, zifuate kwa makini,Sifa za vibarazani, hazina tija jamani!,Ajali barabarani, ni hasara kwa taifa.
Bosi...

 

10 years ago

GPL

BABA WA MAYWEATHER AMKEJELI PACQUIAO NA SHAIRI LA USHINDI

Floyd Mayweather katika pozi na baba yake mzazi. BABA wa bondia Floyd Mayweather ameamua naye kumrushia ‘makonde’ Pacquiao, lakini kwa njia ya mashairi ambapo amesema ameshindwa kwa vile mwalimu wake wa ndondi hajui lolote. Floyd Sr, ambaye ndiye baba yake Mayweather, amekuwa akipitisha muda wake kutunga mashairi, na amekuwa akifanya jitihada za kutoa kitabu kuhusu umahiri wake huo. Vipande vya mashairi alivyovitoa...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aombwa kujenga tuta mto Kilombero

MGOMBEA ubunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abubakari Asenga amemwomba mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli awajengee tuta pembeni ya mto Kilombero kuzuia mafuriko.

 

11 years ago

Michuzi

MSAADA TUTANI: Ninataka Kujitoa Kwenye Klabu Ya Wasagaji Matajiri

Habari za leo ndugu, ninakuomba unisaidie kuweka waraka wangu kwenye blogu yako, ili watu wenye uwezo wa kunisaidia hata kwa ushauri tu, waweze kunisaidia kwani nipo katika wakati mgumu sana sasa hivi  Natanguliza shukurani zangu za dhati kwako.
Kwa ufupi mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26 . Ninaishi Dar Es salaam na kazi yangu ni mfanyabishara. Baada ya maisha kunipiga sana, niliamua kwenda kuomba ushauri kwa mdada mmoja ...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANITE ONE WAKABIDHI MSAADA WA SHILINGI MILIONI 42 KWENYE SHULE YA MSINGI NEW VISION

Hiyo ndiyo mfano wa hundi ya shilingi milioni 42 iliyotolewa na kampuni ya TanzaniteOne kwa shule hiyo ya New Vision ya Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, ambapo ina wanafunzi 400 kati yao 67 ni watoto yatima (kushoto) ni Meneja Uhusiano wa Kampuni ya TanzaniteOne Halfani Hayeshi. Katibu Tawala wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Elias Ntiruhungwa akionyesha picha iliyochorwa na mwanafunzi wa shule ya msingi New Vision, Gift Junior baada ya shule hiyo kukabidhiwa...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YATOA MSAADA KWENYE KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHAKWAMA

Katibu Mtendaji wa CHAKWAMA, Hassan Khamis akimuelezea jambo Ofisa Utawala wa Global Sudi Kivea. Mhasisi wa CHAKWAMA, Bi Saida Hassan akiongea na Ofisa Sudi Kuvea.
Watoto Yatima…

 

10 years ago

Dewji Blog

JK ataka msaada ESRF kuondoa umaskini kwenye uchumi unaokua kwa kasi kubwa

DSC_0039

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)  nchini , Alvaro Rodriguez nje ya ukumbi wa mikutano kabla ya mgeni rasmi kuwasili kwenye mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii uliofanyika jana jijini Dar katika hoteli ya Hyatt Regency,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani