MSAADA KWENYE TUTA
Wadau wa kiswahili naomba masaada wa usahihi wa neno Turubai kuna wengine nimesikikia wakiita turubali kitu ambacho kilileta ubishi mwingi kuhusiana na usahii wa neno lenyewe. Je usahihi ni nini ni TURUBAI au TURUBALI asante
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo05 Apr
MSAADA KWENYE TUTA TAFADHALI
Siku hiyo Bwana harusi mtarajiwa aliwahi kanisani kama kawaida akiwemo bi harusi mtarajiwa nae alifika kanisani kwa muda unaotakiwa lakini gari lililomleta lilitakiwa kufuata watu wengine kwa ajili ya na kuwaleta kanisani na kwa maana hiyo harusi ndoa ingeweza fungwishwa mpaka watu hao wafike.
Bi. harusi mtarajiwa aliambiwa aningie ndani kanisani lakini aende nyuma...
11 years ago
Michuzi24 Apr
msaada kwenye tuta: Shairi
1. Karudi baba mmoja toka safari ya mbali Kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili Watoto wke wakaja ili kumtaka hali Wakataka na kauli ili iwafae maishani
Akatamka mgonjwa ninaumwa kwelikweli Hata kama nikichanjwa haitoki homa kali Roho naona yachinjwa kifo kimenikabili Kama mwataka kauli semeni niseme nini
Yakawatoka kinywani maneno yenye akili Baba yetu wa thamani sisi tunataka mali Urithi tunatamani mali...
9 years ago
Habarileo07 Sep
Magufuli aombwa kujenga tuta mto Kilombero
MGOMBEA ubunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abubakari Asenga amemwomba mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli awajengee tuta pembeni ya mto Kilombero kuzuia mafuriko.
11 years ago
Michuzi26 Feb
MSAADA TUTANI: Ninataka Kujitoa Kwenye Klabu Ya Wasagaji Matajiri
Kwa ufupi mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26 . Ninaishi Dar Es salaam na kazi yangu ni mfanyabishara. Baada ya maisha kunipiga sana, niliamua kwenda kuomba ushauri kwa mdada mmoja ...
11 years ago
MichuziTANZANITE ONE WAKABIDHI MSAADA WA SHILINGI MILIONI 42 KWENYE SHULE YA MSINGI NEW VISION
10 years ago
GPLGLOBAL YATOA MSAADA KWENYE KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHAKWAMA
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
JK ataka msaada ESRF kuondoa umaskini kwenye uchumi unaokua kwa kasi kubwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini , Alvaro Rodriguez nje ya ukumbi wa mikutano kabla ya mgeni rasmi kuwasili kwenye mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii uliofanyika jana jijini Dar katika hoteli ya Hyatt Regency,...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_00391.jpg?width=650)
JK ATAKA MSAADA ESRF KUONDOA UMASKINI KWENYE UCHUMI UNAOKUA KWA KASI KUBWA
9 years ago
MichuziNHIF Mkoa wa Manyara watoa msaada wa mashuka 100 kwenye hospitali ya mji wa Babati (Mrara).