Msama yamwaga udhamini uzinduzi wa Rose Muhando
KAMPUNI ya Msama Promotions imejitosa kudhamini uzinduzi wa albamu ya ‘Kamata Pindo la Yesu’ ya mwimbaji Rose Muhando. Uzinduzi wa albamu hiyo utafanyika Agosti 3 katika ukumbi wa Diamond Jubilee,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Jn6XP8bWc3I/VKf397x0NHI/AAAAAAACxEE/WjgjbzqSDUg/s72-c/msama.jpg)
MSAMA AACHANA NA ROSE MUHANDO.!
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jn6XP8bWc3I/VKf397x0NHI/AAAAAAACxEE/WjgjbzqSDUg/s1600/msama.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qUZbsOiEeqnJ3n5LhB3BzMc*tlst3I8ww*-U0p1H-gfUAdIsdXqTE8Wb-94b-mCdfMBnBC5rx4fkRwwb7GTRN*BGAhZ8gaX9/Mhando.gif?width=650)
MSAMA ANAWA MIKONO KWA ROSE MUHANDO
BRIGHTON MASALU “HAWA mastaa hawa bwana! Wana matatizo sana, hivi inakuwaje mtu unamsaidia kwa mambo mengi, halafu badala ya kukushukuru anaamua kukulipa maneno makali? Yaani msaada wangu wote kwa Rose (Muhando), matokeo yake anatukana ukristo!†Ndivyo anavyoanza kueleza kwa sauti iliyojaa uchungu, meneja wa mwimbaji wa nyimbo za Injili, Rose Muhando, Alex Msama. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1hpoH6b ...
11 years ago
Michuzi26 Jul
KUMEKUCHA UZINDUZI WA ALBAM YA "SHIKILIA PINDO LA YESU" YA ROSE MUHANDO
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/227.jpg)
11 years ago
Michuzi04 Aug
SUMAYE AFUNGUKA YA MOYONI WAKATI WA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA YA ROSE MUHANDO
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh Frederick Sumaye alipokuwa akizungumza jana kwenye uzinduzi wa albamu mpya ya Mwimbaji mahiri wa nyimbo za Injili nchini,Rose Muhando iliyojulikana kwa jina la Shikilia Pindo la Yesu,uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsylVOhBw-0/VlrJHAe7F6I/AAAAAAABlAE/2Uu5BngwCp0/s72-c/_MG_9111.jpg)
KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA VITUO 10 VYA YATIMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsylVOhBw-0/VlrJHAe7F6I/AAAAAAABlAE/2Uu5BngwCp0/s640/_MG_9111.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W43xlgW6YAo/VlrItbmpxII/AAAAAAABk_0/VmcrSXaxgJA/s640/_MG_9071.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9ggApSwF-k/VlrJxxlAqgI/AAAAAAABlAk/2z1KwRtrle4/s640/_MG_9160.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-D4tJWYe28GS7FDXqNQqiIz42Pif3y7bi9H2sA5iJva1tCCypMXf5kdObQIkp-5eDMZBlKs2*sLkcdSd6UoEWPz/rose.jpg)
ROSE MUHANDO MGONJWA
Stori: Gladness Mallya
TUMUOMBEE! Hali ya kiafya ya staa mkubwa wa Injili Bongo, Rose Muhando siyo nzuri na amewaomba Watanzania wamuombee kwani ni mgonjwa. Staa mkubwa wa Injili Bongo, Rose Muhando. Akizungumza na gazeti hili katika mahojiano maalum katikati ya wiki hii, Rose ambaye ameripotiwa kwa misala tofauti ya kuchikichia fedha za shoo hivi karibuni, amefunguka kuwa afya yake si nzuri kwani anasumbuliwa na mshipa...
9 years ago
Habarileo18 Aug
Rose Muhando matatani
MUIMBAJI maarufu hapa nchini wa nyimbo za Injili, Rose Muhando anatafutwa na waandaaji wa tamasha la Injili wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa madai ya kutoonekana kutumbuiza kama jinsi walivyokubaliana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ0bLZe5X0aAduH2flM7GU2ZYCeWYYI42wLeKwvevOYtkbitj0as1iyA5XtSe9pBfceLfCw06M7--6X6EzL74TcB/Rose20.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO AWEWESEKA
Mwimbaji nyota wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando. MWIMBAJI nyota wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando ambaye hivi karibuni alikanwa na aliyewahi kuwa meneja wake wa muda mrefu, Alex Msama, anadaiwa kuweweseka asijue la kufanya kufuatia hatua hiyo. Akizungumza kutoka Dodoma yalipo makazi ya mwimbaji huyo, mmoja wa watu wake wa karibu aliyeomba hifadhi ya jina lake, alisema hatua ya Msama kutangaza kutofanya naye kazi,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo-d0OUy67UJkQxk*EAKpbyyQ05TptxP6dPBeEzBSIrLdiSx8Yy6oOYxaPPqPRzv54-Y5ZUwabBZAgvgK5ClpyFO/rose.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO MBARONI!
Stori: Mwandishi Wetu
STAA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando yamemkuta ya kumkuta ambapo Ijumaa iliyopita alishikiliwa na Polisi wa Kituo cha Msimbazi jijini Dar es Salaam kwa madai ya kuingia mitini na shilingi milioni 6 alizolipwa kwa ajili ya kwenda kufanya shoo ya kiroho, Mombasa, Kenya Novemba 3, 2013 lakini hakutokea. Rose Muhando. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Rose alidakwa jijini Dar es Salaam saa sita mchana huku...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania