MSAMI: Tekno hana maringo
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII na mkali wa kudance Bongo, Msami Baby amesema nyota wa wimbo wa Duro, Tekno hana maringo kama
walivyo mastaa wengine wanaliofanikiwa.
Akichonga na Swaggaz, Msami alisema kolabo yake na Tekno ilichukua muda mchache kukamilika kutokana na
msanii huyo kutoka Nigeria kutokuwa na mashauzi ambayo yangechelewesha ngoma yao.
“Audio na video tulifanya kwa muda mfupi sana, haikuchukua muda kila kitu kilikwenda sawa, siku chache
zijazo ngoma hiyo itadondoka kitaa so...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/nitoo.jpg)
KADJANITO KUIWEKA SINA MARINGO KIDEONI!
10 years ago
Michuzi07 Dec
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7JAc5CeHqZ0gG6s7jg3MRYaCPE5-iUEhlHvllc5CfUy1I0E9aagfuq7zSmG1FjAFbWcp64Uj3JMuoGYF7CelT16Z*MVuNUjT/150000080.jpg)
KIBA KUMBUKA MAJIVUNO, MARINGO NDIVYO VILIVYOKUPOTEZA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t4lRGZ5APQuZO761cBXZcy1zaYP9hXAnnjbRjX4TyK-PfG-VzZJ4zudS-qjxvq2iHEl3aHHV2wnAhr0fJsTdsjmEppnUNE1b/IMG_2164.jpg?width=750)
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Wimbo mpya: Kadja Nito — Sina Maringo
Msanii wa Bongo Fleva, Kadja Nito.
Sikiliza wimbo wake wenye mahadhi ya Zouk hapa chini.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IH2TiYNsiBs/VixGjHn8VAI/AAAAAAAEDAE/Vyx2SZxrLSI/s72-c/ae2844479423314c28675615fcd1e266.jpg)
MSAMI WA RADIO UN NEW YORK CITY
![](http://4.bp.blogspot.com/-IH2TiYNsiBs/VixGjHn8VAI/AAAAAAAEDAE/Vyx2SZxrLSI/s640/ae2844479423314c28675615fcd1e266.jpg)
9 years ago
Bongo523 Nov
Christian Bella: Nilidhani Koffi Olomide ataniletea maringo
![Bella akiwa na Koffi Olomide](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Bella-akiwa-na-Koffi-Olomide-300x194.jpg)
Mwimbaji mahiri, Christian Bella amesema babla ya kukutana na msanii mkongwe wa DR Congo, Koffi Olomide na kufanyanae wimbo wa pamoja alidhani angemletea mringo.
Christian Bella na Koffi wakiwa studio
Bella ambaye alisafiri hadi DR Congo kwa ajili ya kolabo hiyo, ameiambia Bongo5 kuwa, aliogopeshwa na tabia ya msanii huyo ya kukataa kufanya kolabo mara kwa mara.
“Koffi mkubwa sana na ni msanii anayeheshimika sana Congo na mara nyingi afanyi kolabo za mara kwa mara, ndo maana nilidhani...
10 years ago
Michuzi06 Dec
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Msami aonyesha maajabu miaka 10 ya THT