Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KADJANITO KUIWEKA SINA MARINGO KIDEONI!

STAA wa Bongo Fleva kutoka Jumba la Vipaji (THT), Khadija Said Maige ‘Kadjanito’ ameweka wazi juu ya ujio wake wa Sina Maringo kwamba yupo mbioni kutoka na video yake. Kadjanito aliyewahi kubamba na Ngoma ya Maumivu amesema kuwa video hiyo imeandaliwa nchini na kwamba hajaona sababu ya kukimbilia kwenda kuitengenezea nje ya nchi kama wafanyavyo baadhi ya mastaa wa muziki huo. “Mashabiki wangu wakae mkao wa kula kwani nipo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wimbo mpya: Kadja Nito — Sina Maringo

KadjaVover

Msanii wa Bongo Fleva, Kadja Nito.

Sikiliza wimbo wake wenye mahadhi ya Zouk hapa chini.

 

10 years ago

GPL

WIMBO MPYA: KADJA NITO - SINA MARINGO

Msanii wa Bongo Fleva, Kadja Nito .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunda Man amweka ‘Msambinungwa’ kideoni

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka kundi la Tip Top Connection lenye maskani yake Manzese jijini Dar es Salaam, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ juzi amezindua video ya ngoma...

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete kuiweka sawa bajeti

Rais Jakaya Kikwete juzi alitua mjini Dodoma na kukutana na viongozi wa juu wa Serikali akiwamo Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Baraza la Mawaziri, huku taarifa zikieleza kuwa ujio wake ni kwa ajili ya kuweka mambo sawa kuhusu Bajeti ya Serikali.

 

9 years ago

Mtanzania

MSAMI: Tekno hana maringo

msamiNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII na mkali wa kudance Bongo, Msami Baby amesema nyota wa wimbo wa Duro, Tekno hana maringo kama
walivyo mastaa wengine wanaliofanikiwa.

Akichonga na Swaggaz, Msami alisema kolabo yake na Tekno ilichukua muda mchache kukamilika kutokana na
msanii huyo kutoka Nigeria kutokuwa na mashauzi ambayo yangechelewesha ngoma yao.

“Audio na video tulifanya kwa muda mfupi sana, haikuchukua muda kila kitu kilikwenda sawa, siku chache
zijazo ngoma hiyo itadondoka kitaa so...

 

10 years ago

Mwananchi

Ripoti ya wizara yazidi kuiweka pabaya IMTU

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema Hospitali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) hakitafunguliwa mpaka pale upungufu ulioainishwa utakapofanyiwa kazi.

 

11 years ago

Michuzi

introducing Kadjanito Nzogo Official Music Video

Unaweza pia kuona kazi zetu nyingine katika Youtube,Facebook,Twitter,instagram, linkedin n.k.  kwa jina la LegendaryMusic-Tanzania   website.www.legendarymusic.co  blogsite. www.thelegendarymusic.com  email. legendarymusicinc.tz@gmail.com   info@legendarymusic.co  Phone.+255659444494 +255754033232

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani