Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ripoti ya wizara yazidi kuiweka pabaya IMTU

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema Hospitali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) hakitafunguliwa mpaka pale upungufu ulioainishwa utakapofanyiwa kazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ripoti ya CAG yazidi kuiumbua serikali

KILA mwaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), huainisha jinsi fedha za serikali zinavyofujwa. Lengo kuu la CAG ni kuizindua serikali kuhusu matumizi mabaya ya fedha na...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI M YAZIDI KUPATA MAFANIKIO, RIPOTI YA FEDHA YA ROBO YA PILI YA MWAKA YATOLEWA

Benki M, inayojulikana kimataifa na ambayo ipo katika benki 10 kubwa hapa nchini, imepata faida ya zaidi ya asilimia 25 katika faida kabla ya kodi kwenye nusu ya kwanza ya mwaka huu ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana. 
Benki hiyo ambayo hivi karibuni ilijipatia tuzo ya Benki bora ya biashara Tanzania kwa mwaka 2015 iliyotolewa na International Banker nchini Uingereza, imepata faida kufikia Tshs. 11.51Billioni kabla ya kodi katika miezi sita ya mwanzo wa mwaka...

 

10 years ago

Habarileo

Wizara ya Elimu yazidi kuzibana shule binafsi

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango Malecela.WIZARA ya Elimu na Ufundi imesema itazifutia usajili shule zote za serikali au binafsi, zitakazobainika kukaidi agizo la wizara hiyo lililotolewa wiki iliyopita la kuacha kuweka viwango maalumu na tofauti za ufaulu kutoka kidato kimoja kwenda kingine.

 

10 years ago

Michuzi

Wizara ya afya na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi wazindua rasmi Ripoti ya tafiti ya hali ya Maambukizi ya VVU nchini

 Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali,Dkt. Mohamed Ally Mohamed (katikati) akizindua rasmi Ripoti ya tafiti ya hali ya Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kwa Watu wa makundi maalum wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa kuitambulisha Ripoti hiyo,uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Protea Courtyard,jijini Dar es salaam.Wengine pichani ni kutoka kulia ni Mraribu Idadi ya Watu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Neema Makyao,Meneja Msaidizi wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi (NACP),Dkt....

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete kuiweka sawa bajeti

Rais Jakaya Kikwete juzi alitua mjini Dodoma na kukutana na viongozi wa juu wa Serikali akiwamo Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Baraza la Mawaziri, huku taarifa zikieleza kuwa ujio wake ni kwa ajili ya kuweka mambo sawa kuhusu Bajeti ya Serikali.

 

10 years ago

GPL

KADJANITO KUIWEKA SINA MARINGO KIDEONI!

STAA wa Bongo Fleva kutoka Jumba la Vipaji (THT), Khadija Said Maige ‘Kadjanito’ ameweka wazi juu ya ujio wake wa Sina Maringo kwamba yupo mbioni kutoka na video yake. Kadjanito aliyewahi kubamba na Ngoma ya Maumivu amesema kuwa video hiyo imeandaliwa nchini na kwamba hajaona sababu ya kukimbilia kwenda kuitengenezea nje ya nchi kama wafanyavyo baadhi ya mastaa wa muziki huo. “Mashabiki wangu wakae mkao wa kula kwani nipo...

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Ahsante Dangote kuiweka Mtwara katika ramani ya dunia

Rais Jakaya Kikwete amempongeza mfanyabiashara, Aliko Dangote kuuweka Mkoa wa Mtwara katika ramani ya dunia, kutokana na kuwekeza mradi mkubwa wa kiwanda cha saruji mkoani hapa, ambacho kimegharimu Dola za Marekani 600 milioni.

 

11 years ago

Dewji Blog

Warembo Miss Tanzania wajifua Gym kuiweka miili yao imara

Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi ‘Gym’, ungana na mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao katika kambi yao. 8

 

11 years ago

Michuzi

WAREMBO MISS TANZANIA WAJIFUA GYM KUIWEKA MIILI YAO SAFI

 Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao katika kambi yao. PICHA ZAIDI INGIA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani