Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msanii akikaa vibaya kwenye mdundo wangu nina haki ya kumnyang’anya na kumpa mwingine — Nahreel

Nahreel

Nahreel ni miongoni mwa watayarishaji wa muziki wakali tulionao Tanzania kwa sasa, akiwa amehusika na utengenezaji wa hits nyingi ambazo zimefanikiwa kushika chati mbalimbali za ndani na nje mipaka yetu.

Nahreel

Kupitia studio yake ya The Industry aliyoifungua mwaka jana (2014) baada ya kufanya kazi kwenye studio nyingi za watu wengine kama Hometown, The Switch na Kama Kawa, Nahreel ameshafanya kazi na wasanii wengi wa ndani na pia tayari ameanza kuwavutia wasanii wakubwa wa Afrika kama rapper K.O...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

CCM wajipanga kumnyang’anya jimbo Msigwa wa Chadema

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimetangaza mpango mkakati wa kulikomboa Jimbo la Uchaguzi la Iringa Mjini. Mpango huo ulitangazwa katika mkutano mkubwa, uliofanyika juzi kwenye uwanja wa Mwembetogwa mjini hapa. Jimbo hilo kwa sasa linaongozwa na Mchungaji Peter Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) aliyechaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa 2010.

 

9 years ago

MillardAyo

Nahreel kasema ‘nisieleweke vibaya kuhusu haya niliyosema kuhusu Diamond’

Nahreel ni msanii wa kundi la Navy Kenzo lakini pia ni Producer ambaye mikono yake imehusika kuzisuka hits nyingi tu ikiwemo za WEUSI, Vanessa Mdee, Navy Kenzo, Shilole na hivi karibuni Nahreel ameingia kwenye headlines za Tanzania baada ya kusema hakupendezwa na maneno ya utambulisho wake kufutwa kwenye beat aliyoitengeneza ya wimbo wa ‘Nana‘ wa Diamond […]

The post Nahreel kasema ‘nisieleweke vibaya kuhusu haya niliyosema kuhusu Diamond’ appeared first on...

 

10 years ago

Habarileo

Mkono: Nina hofu na usalama wangu

Nimrod MkonoMBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM) amesema maisha yake yako hatarini, kutokana na kuwepo genge la watu ambalo amedai wana nia mbaya na yeye, hivyo ameomba jeshi la Polisi kuchunguza watu hao.

 

11 years ago

GPL

MGANGA AMVUNJA TAYA MKEWE, MWINGINE AJERUHIWA VIBAYA!

Stori:  Juma Kapipi, Tabora
UKATILI, unyama kila kona! Mariam Kilimba (52), mkazi wa Ipuli katika Manispaa ya Tabora mkoani hapa anadaiwa kupigwa na mumewe hadi kuvunjwa taya. Mariam Kilimba (52) aliyevunjwa taya na mumewe. Katika tukio hilo lililojiri hivi karibuni, mwanaume aliyetekeleza ukatili huo ilielezwa kuwa ni mganga wa kienyeji na chanzo cha yote hakikuelezwa mara moja kwani mwanamke huyo hajaweza kuzungumza....

 

11 years ago

GPL

UKATILI TENA: HAUSIGELI MWINGINE AJERUHIWA VIBAYA NA BOSI WAKE

Majeraha aliyonayo kichwani Melina Mathayo baada ya kupigwa na bosi wake. HAUSIGELI aitwaye Melina Mathayo mwenye umri kati ya miaka 15, ameumizwa vibaya sehemu za kichwani na kulazwa katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam baada ya kupigwa na bosi wake aitwaye Yasintha Rwechungura mkazi wa Boko. Akiongea na mwanahabari wetu akiwa katika hospitali hiyo, Melina amesema amekuwa akipigwa na bosi wake huyo mara kwa...

 

10 years ago

GPL

AUNT: MUME WANGU HAJUI KAMA NINA MIMBA

Stori:Musa mateja
Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amefunguka kuwa, licha ya ujauzito wake kuwa mkubwa, mume wake Sunday Demonte hana taarifa yoyote juu ya kitumbo hicho.Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Aunt alisema maneno hayo yanaweza kuwashangaza watu lakini ndiyo ukweli wenyewe. Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’. Alidai kuwa yeye na mume wake huyo...

 

9 years ago

Mtanzania

Aunt Ezekiel: Nina haki ya kuhama chama

anty ezakielMWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Aunt Ezekiel, amedai kutishiwa amani baada ya kufanya maamuzi yake kisiasa ambapo amehamisha ushabiki wake kutoka chama kimoja na kwenda chama kingine.

Licha ya mrembo huyo kudai kupokea vitisho mbalimbali, pia alidai amehama chama hicho na kujiunga na kingine
kutokana na kukubali sera za chama hicho.
“Sera za chama nilichohamia zimenivutia na wala sikulazimishwa na mtu wala sijapokea fedha wala gari kuhamia
huko kama inavyosemekana, bali nafsi na mapenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani