Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSANII BONGO MOVIE ATIA KINYAA

Stori: Mayasa Mariwata
AIBU! Msanii wa Bongo Movies, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ aliyewahi kuripotiwa kujiachia kimalovee na mwanamuziki Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’ ametia aibu kubwa baada ya picha zake za utupu kuzagaa mitandaoni. Pichani ni msanii wa Bongo Movies, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ katika pozi tofauti.
Kutokana na picha hizo ambazo zimeonekana kuzagaa katika mitandao mbalimbali na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MSANII BONGO MOVIE...

Stori: Gladness Mallya
MSANII chipukizi wa filamu wa Kundi la Mwamba Arts, Mariam Glant (20) amenusurika kifo baada ya kunywa sumu kisa kikidaiwa kuwa ni penzi la kijana aliyejifanya mdogo wa Kanumba anayejulikana kwa jina moja la Chief. Msanii chipukizi wa filamu wa Kundi la Mwamba Arts, Mariam Glant. Akizungumza na paparazi wetu sosi wa karibu na msanii huyo alisema siku ya tukio, Mariam alikuwa nyumbani kwa rafiki yake wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msanii mwingine Bongo Movie afariki dunia

IKIWA zimepita siku chache tangu msiba wa mwigizaji na muongozaji filamu za Kibongo, Adam Kuambiana, mwigizaji mwingine, Rachel Haule ‘Recho’, amefariki dunia jana asubuhi. Inaelezwa kifo cha Recho kimesababishwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA LEO

Mwajuma Abdallah ‘Mama Mashaka’ enzi za uhai wake.Mtoto wa marehemu Mwajuma Abdallah ‘Mama Mashaka’Waombolezaji wakiwa wenye nyuso za simanzi.Bi Mwenda akiwa msibani leo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Msanii wa Bongo Movie Ester Kiama afuturisha wasanii wenzake jijini Dar

Msanii chupukizi wa Bongo Movie, Ester Kiama leo alifuturisha wasanii, ndugu,jamaa na marafiki zake ikiwa ni ishara ya kumkumbuka marehemu mama yake mzazi ambaye alishatangulia mbele ya haki. Akitoa shukrani zake kwa waalikwa, alisema ameona vyema kuandaa chakula cha pamoja ili waweze kumuenzi mama yao mzazi kwa vile alipenda sana watu hasa kukutana na kupata chakula pamoja.

Msanii chupukizi wa Bongo Movie, Ester Kiama akiendelea kutoa shukrani zake za pekee.

IMG_2930

 Mjomba wa Msanii...

 

10 years ago

GPL

AIBU JAMANI! MUME ANASA PICHA CHAFU ZA MKEWE NA MSANII WA BONGO MOVIE

Shani Ramadhani MAMA Fanueliii! Mwanamke Elgiva Winyaeli Munisi ‘Manka’, mkazi wa Kijitonyama, Dar, amejikuta katika wakati mgumu baada ya mumewe, Alpha kudaiwa kuzinasa picha za utupu akiwa na mchepuko uliofahamika kwa jina la Crama Lucas ambaye ni msanii wa Bongo Muvi, Ijumaa Wikienda lina filamu kamili. Elgiva Winyaeli Munisi ‘Manka’ na mchepuko wake Crama Lucas ambaye ni msanii wa Bongo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani