Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSANII WA TMK WANAUME FAMILY, YP AZIKWA MAKABURI YA CHANG'OMBE DAR

Wasanii wa Bongo Fleva wakiuaga mwili wa marehemu Yesaya Ambikile 'YP' katika Viwanja vya TCC Chang'ombe, Dar es Salaam. Waombolezaji wakiwa katika msiba wa msanii wa Bongo Fleva, Yesaya Ambikile 'YP' kwenye Viwanj vya TCC, Chang'ombe, Dar.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

YP kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe

Msanii wa kundi la Wanaume Family YP aliyefariki usiku wa kuamkia leo kwa ugonjwa wa kifua, anatarajiwa kuagwa kesho (October 22) kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe na baada ya hapo atazikwa katika makaburi ya Chang’ombe karibu na maduka mawili. Akizungumza ba BONGO 5 jioni hii, kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family amesema mpaka sasa […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msanii YP wa TMK Wanaume Family afariki

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka kundi la TMK Wanaume Family, Yessaya Ambikile ‘YP’ amefariki dunia juzi usiku akiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Temeke ambako alikuwa anatibiwa....

 

11 years ago

GPL

TMK WANAUME FAMILY KABLA YA KUPANDA STEJI YA DAR LIVE

Baadhi ya wanamuziki wa kundi la TMK Family kutoka kushoto ni Chegge, YP na Mhe. Temba kabla ya kupanda steji ya Dar Live usiku huu wa kusherehekea mwaka mpya 2014. (PICHA NA ISSA MNALLY / GPL)

 

11 years ago

GPL

TMK WANAUME FAMILY, WEUSI WALIVYOFUNIKA SIKUKUU YA PASAKA DAR LIVE

Wasanii kutoka Makundi ya TMK Wanaume Family na wale wa Weusi walifanya kweli kwa kushusha bonge la shoo katika Sikukuu ya Pasaka ndani ya Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala, Zakhem jijini Dar es…

 

11 years ago

GPL

TMK WANAUME FAMILY WAKIKAMUA KATIKA USIKU WA ZAWADI DAR LIVE

Kundi la TMK Wanaume Family usiku wa kuamkia leo limefanya makamuzi ya nguvu katika shoo ya Usiku wa Zawadi iliyofanyika katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

 

11 years ago

GPL

TMK WANAUME FAMILY WAFUNIKA SHOO YA MWAKA MPYA 2014 DAR LIVE

Kundi la TMK Wanaume Family likiwapagawisha mashabiki wa Dar Live kwa burudani.…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA GURUMO KUSTAAFU MUZIKI LAFANA TCC CHANG'OMBE, DAR

Gurumo (kulia) akipagawisha huku akisindikizwa na Hafsa Kazinja na Hussein Jumbe (kushoto). Hussein Jumbe na mcharaza gitaa maarufu, Miraj Shakashia 'Shakazulu' wakinogesha mambo. Sehemu ya…

 

11 years ago

GPL

REDD'S MISS CHANG'OMBE ZAWADI ZA WASHINDI ZATANGAZWA

Mratibu wa Shindano la kumtafuta mrembo wa Redd's Miss Chang'ombe, Tom Chilala (katikati),akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo wakati wa kuitangaza zawadi za washindi. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Marie Stopes, Dk. Jophn Bosco na Ofisa Uhusiano  wa TV1, Mponjoli Katule.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani