Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIBA ATLANTA, ALABAMA NA TANZANIA

Tuna masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa Mzee Henry Ebrahim ,baba mzazi wa Bwana
Elvis Doto Ebrahim Mnyamulu wa Atlanta Georgia, na Bi Salome Ebrahim Mollel wa... Alabama Msiba umetokea leo Saa 11 alfajiri saa za Africa ya Mashariki/nyumbani Tanzania.Mzee Ebrahim alikuwa akitibiwa mjini Atlanta na
Alirudi nyumbani wiki 3 tatu zilizopita kuendelelea na matibabu, hadi alipoitwa kwenye makao ya milele, Ijumaa 01/16/2015.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani Tanzania.(Sinza near Lion...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Watanzania wa jimbo la Georgia na Alabama wakutana kwa hafla ya nyama choma Atlanta, GA

DJ. Dullah akiburudisha wakati wa nyama choma hiyo.Kwa picha zaidi bofya SOMA ZAIDI

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA TANZANIA

Dr. Chemponda was one of the NY Tanzania community leaders who pioneered peace and progress for all levels of the Community. Here speaking with NY community leaders on 1-26-2014. he died yesterday in Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA

FLAVIAN IS FLAVIAN TEMBA:   1950 -2015

Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu  Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
 Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa  June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA SEATTLE NA TANZANIA

Ndugu wa Watanzania,
Kwa masikitiko makubwa jumuiya imepokea taarifa ya msiba wa Kaka wa mtanzania mwenzetu Mama Dina kilichotoka Dar es Salaam,Tanzania.
Sala ya maombi itafanyika kesho, Jumapili Tarehe 22/2/2015, saa Nane mchana (2pm), nyumbani kwa Mama Dina.
Anuani:21227 35th Avenue SeBothell, WA 98021
Pia tunaombwa kuwafariji wafiwa katika wakati huu mgumu wa kuondokea na kiungo muhimu cha familia yao kwa kuungana nao kwenye anuani iliyoainishwa hapo juu.
Namba ya wafiwa - Bw. George, mume wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA TANZANIA NA MARYLAND

Salome john wa Rockville Maryland  anasikitika kutangaza msiba wa dada yake, msiba umetokea jana  nyumbani Tanzania kama ilivyo desturi yetu kupeana pole ndio ustaarabu na mila yetu msiba hupo Rockville nyumbani kwa.
 Salome John # 240-899-5343
Address hii 
4303 Frankfort drive Rockville. MD 20853,

 

11 years ago

Michuzi

Msiba Tanzania na DMV


Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147. 
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe 

 

10 years ago

Vijimambo

Msiba Tanzania na Marekani

Patricia Kajula wa Maryland Marekani anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Mwamakunge Kajula kilicho tokea leo Mbeya Tanzania.
Msiba upo kwa binamu yake Patricia,Jeff Deo Nkanda Address:5701 union bridge ct Bowie MD 20720
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:Patricia:240 486 9948Jeff Deo Nkanda: 240 413 1925Dotto Haruna: 240 274 7921Betty Lulanda:240 486 7082Shukurani Magoma:202 607 1976
Bwana alitoa na sasa bwana ametwa amenitumia.

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA MICHIGAN NA TANZANIA

Familia ya Mzee Adam Kufakunoga wa Regent Estate inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Mzee Adam Kufakunoga kilichotokea  nyumbani Tanzania ,mipango na ratiba kamili ya mazishi mtaarifiwa baadae

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani