Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIBA SEATTLE NA TANZANIA

Ndugu wa Watanzania,
Kwa masikitiko makubwa jumuiya imepokea taarifa ya msiba wa Kaka wa mtanzania mwenzetu Mama Dina kilichotoka Dar es Salaam,Tanzania.
Sala ya maombi itafanyika kesho, Jumapili Tarehe 22/2/2015, saa Nane mchana (2pm), nyumbani kwa Mama Dina.
Anuani:21227 35th Avenue SeBothell, WA 98021
Pia tunaombwa kuwafariji wafiwa katika wakati huu mgumu wa kuondokea na kiungo muhimu cha familia yao kwa kuungana nao kwenye anuani iliyoainishwa hapo juu.
Namba ya wafiwa - Bw. George, mume wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MSIBA TANZANIA

Dr. Chemponda was one of the NY Tanzania community leaders who pioneered peace and progress for all levels of the Community. Here speaking with NY community leaders on 1-26-2014. he died yesterday in Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA

FLAVIAN IS FLAVIAN TEMBA:   1950 -2015

Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu  Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
 Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa  June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV NA TANZANIA

Mtanzania mwenzetu Darmatus Nambai anasikitika kutangaza kifo cha mpendwa mama yake mzazi kilichotokea leo Tanzania. Kama ilivyo ada na desturi kupeana pole ndio ustaarabu wetu ukipata wasaa mpitie mfiwa ndugu yetu, kaka yetu mwanaDMV mwenzetu Nambai kuumpa pole na kumfariji katika kipindi hiki kigumu cha kufiwa na mpendwa mama yake mzazi.
DMV msiba upo 4717 Eiderdown Ct,     Owings Mills, MD 21117
Kwa taarifa zaidi na maelekezo piga simu Nambai 301 523 1378Rehema 202 904 5029home 410 363...

 

9 years ago

Michuzi

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA

Bettisheba Pole Ketang'enyi enzi ya uhai wakeTunasikitika kutangaza kifo cha mama Betisheba Ketangenyi, mama yake Yvonne Matinyi, Felicia Simms, Fredderek Ketangenyi pia ni Dada yake na Rossie Musika, Neema Musika, Daudi Musika, Sijaona Musika kilichotekea 9/30/15 katika hospitali ya NIH Maryland mipango ya kusafiri mwili wa marehemu inaendelea kwa mdogo wa marehemu Daudi Musika3819 Gateway terrace Burtonsville MD 20866Unaweza kuwasilianaFrederick Ketangenyi 267 809 5124Felicia Simms 240 608...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA MICHIGAN NA TANZANIA

Familia ya Mzee Adam Kufakunoga wa Regent Estate inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Mzee Adam Kufakunoga kilichotokea  nyumbani Tanzania ,mipango na ratiba kamili ya mazishi mtaarifiwa baadae

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA NEW YORK NA TANZANIA

Familia ya Lwangisa inasikitika kutangaza kifo cha mpendwa baba yao mzazi kilichotokea leo New York nchini Marekani taarifa zaidi kuhusiana na msiba mzee Lwangisa zitafuata 
Kama ilivyokawaida kupeana pole ni kawaida yetu anuani ya msiba utakapokua tutaweka hapa baadaeKwa habari zaidi unaweza piga simu 
Peter Lwangisa (917) 681-6971Mao Lwangisa (917) 709-6889
bwana ametoa,Bwana ametoa na jina lake lihimidie

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA NEW JERSEY NA TANZANIA

It is with great sadness we announce the death of our lovely brother "Eddie Malcolm Buna" which took place in New Jersey, USA. Buna was found dead in his apartment. We are still working with the officials to figure out the cause of his death. Buna left behind his father, mother and 3 siblings Maryam, Abdul and Gee Saleh.
Buna's body will be shipped to Zanzibar for funeral arrangements and we would like to solicit your financial support at this difficult time to enable the family to rest him...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA TANZANIA NA MARYLAND

Salome john wa Rockville Maryland  anasikitika kutangaza msiba wa dada yake, msiba umetokea jana  nyumbani Tanzania kama ilivyo desturi yetu kupeana pole ndio ustaarabu na mila yetu msiba hupo Rockville nyumbani kwa.
 Salome John # 240-899-5343
Address hii 
4303 Frankfort drive Rockville. MD 20853,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani