‘Msihusishe ushirikina na vyanzo vya magonjwa’
WAGANGA wa Tiba Asili wamehamasishwa kujiepusha na migongano katika jamii kwa kutohusisha ushirikina na uchawi kama vyanzo vya ugonjwa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMADIWANI MANISPAA YA MOSHI WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MUWSA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja(aliyenyoosha mkono)akitoa maelezo kwa Madiwani walipotembelea chanzo cha Maji cha Cofee Curing.
10 years ago
StarTV15 Jan
Wananchi wavamia vyanzo vya maji vya Milima ya Amani Tanga.
Na Mbonea Herman,
Tanga.
Wakati Serikali ikiwa imepiga marufuku uvunaji wa misitu na uchimbaji wa madini kwenye vyanzo vya maji vya milima ya Amani, jitihada hizo zimeonekana kugonga mwamba baada ya shughuli hizo kuanza tena kwa kasi.
Shughuli za madini na uvunaji wa mbao katika milima ya Amani wilayani Muheza mkoani Tanga huenda zikasababisha ukosefu wa maji kuendelea katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo na jiji la Tanga kwa ujumla.
Maji ni uhai na pia ni muhimu kwa maisha ya kila...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPdGKi-4QLs/VVlvADOIeqI/AAAAAAAAPlw/kV_Xcyl-zTU/s72-c/DSCF5244%2B(800x600).jpg)
DC MAKUNGA ATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPdGKi-4QLs/VVlvADOIeqI/AAAAAAAAPlw/kV_Xcyl-zTU/s640/DSCF5244%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s4wTb8103k8/VVlus-ncxNI/AAAAAAAAPk0/pP4kPZqI3ys/s640/DSCF5197%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GJ2i5UWB5Ug/VVlvIgBLNYI/AAAAAAAAPmI/t_NqPHCjtXU/s640/DSCF5247%2B(800x600).jpg)
9 years ago
StarTV23 Nov
Uharibifu Vyanzo Vya Maji Mto Zigi vya waweza kusababisha tatizo la maji Tanga
Mamlaka ya majisafi na majitaka Tanga UWASA imesema uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji vya mto Zigi unaweza kusababisha jiji hilo kuingia kwenye tatizo la maji.
Tayari Mamlaka hiyo imeanzisha Umoja wa Wakulima hifadhi Mazingira Kihuwhi Zigi, UWAMAKIZI kama harakati ya kukabiliana na uchimbaji wa madini, kilimo na ukataji wa miti kwa ajili ya mbao.
Jiji la Tanga hutegemea maji ya mto zigi kama chanzo pekee cha maji na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya mto huo huenda...
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Ushirikina wasababisha vifo vya watoto
IMANI za kishirikina zimeelezwa kusababisha vifo vya watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi kwa kutofikishwa hospitali kupata matibabu. Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa chama kinachoshughulikia...
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Vyanzo vya umaskini vyabainishwa
UMASIKINI nchini umelezwa kuchangiwa na ongezeko la ukatili wa kijinsia na bajeti ya taifa kutozingatia mahitaji ya kijinsia. Hayo yalibainishwa jana na Mratibu wa Mafunzo ya Ushawishi na Utetezi katika...
10 years ago
Mwananchi31 May
Lipumba: Vyombo vya dola vinashiriki ushirikina
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fQWiMCBisqo/Xu59wDpknJI/AAAAAAAAHVg/Y97kflRidlEWEO_LlX6sEsdbQ6gqvHpOQCLcBGAsYHQ/s72-c/20200619_113202.jpg)
SERIKALI IMEKABIDHIWA VIFAA VYA MAABARA VYA UCHUNGUZI NA UTAMBUZI WA MAGONJWA YA MIFUGO
Vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) chini ya programu ya Ajenda ya Usalama wa Afya Ulimwenguni (GHSA-ZDAH).
Lengo ni kukuza uwezo wa dunia wa kujilinda dhidi ya hatari za...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Vyanzo vya migogoro hifadhini vyatajwa
MAENDELEO duni, uchu wa madaraka, mila potofu na usimamizi mbovu wa sheria kwa wananchi wanaoishi karibu na hifadhi za taifa, imetajwa kuwa ni kichocheo kikubwa cha migogoro kati ya Shirika...