Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIMU WA PAMBA MWAKA 2020/2021 KUZINDULIWA JUNI 15-WAZIRI HASUNGA

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akifungua mkutano wa maalumu wa wadau wa tasnia ya Pamba uliofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Chuo cha Benki kuu Jijini Mwanza, leo tarehe 7 Juni 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe Juma Homera (Kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti, na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Emmanuel Maganga wakifuatilia mkutano wa maalumu wa wadau wa tasnia ya Pamba uliofanyika katika Ukumbi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

HOTUBA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

C:\Users\mapunda\Desktop\KITABU CHA BAJETI\Picha viongozi\index.jpg

WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 
HOTUBA FUPI (TALKING NOTES) YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021
Dodoma                                                                                                                              Mei 05, 2020UTANGULIZI

Mheshimiwa Spika; kutokana na taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu...

 

5 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

C:\Users\mapunda\Desktop\KITABU CHA BAJETI\Picha viongozi\index.jpg

WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 
HOTUBA FUPI (TALKING NOTES) YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021
Dodoma                                                                                                                              Mei 05, 2020UTANGULIZI

Mheshimiwa Spika; kutokana na taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu...

 

5 years ago

CCM Blog

BUNGE LAPITISHA MAKADIRIO YA WIZARA YA MADINI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021

Na.Faustine Gimu Galafoni,DodomaKatika  kutekeleza majukumu ya Wizara ya Madini kwa  Mwaka 2020/2021,  Bunge limeridhia  na kupitisha makadirio ya Jumla ya shilingi 62,781,586,000 kwa ajili ya Matumizi ya Wizara na Taasisi zake.

Akiwasilisha Bungeni jijini Dodoma April 21 ,2020   hotuba ya Makadirio Ya Mapato na Matumizi Ya Fedha Kwa Mwaka 2020/2021 Waziri wa Madini Mhe.Doto Mashaka Biteko alisema  Mchanganuo wa Bajeti hiyo ni kama ifuatavyo:-
 (i)Bajeti ya Maendeleo ni shilingi 8,500,000,000....

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO YA UWASILISHAJI WA MAPENDEKEZO BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA 2020/2021


Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akipongezwa na Wabunge baada ya kuwasilishwa Mapendekezo ya Serikali kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi  kwa mwaka 2020/2021, bungeni jijini DodomaKatibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James, (wa tatu kushoto) na Wakuu wa Taasisi, Idara wa Wizara hiyo na Viongozi wengine wa Serikali ...

 

5 years ago

CCM Blog

BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA 2020-2021 YAPITISHWA KWA KISHINDO


Wabunge wamepitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2020/2021 ya jumla ya shilingi Trilioni 34.88.Bajeti hiyo imepitishwa kwa kura 304 za ndio kati ya kura 371 zilizopigwa na wabunge waliokuwepo bungeni jijini Dodoma.Shughuli ya upigaji kura, imefanyika kwa mbunge kuitwa jina lake na kupiga kura hadharani kwa sauti.Akitangaza matokeo ya kura, Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai amesema, wabunge waliopiga kura walikuwa 371 na wabunge 13 hawakuwepo bungeni.Kagaigai amesema, kura 63...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AFUNGUA MAONESHO YA KILIMO BIASHARA 2020 TARI ILONGA, AGUSWA NA KASI YA TEKNOLOJIA KWENYE KITUO


Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Taifa, Dk. Yohana Budeba, alipowasili kufungua Maonesho ya Kilimo Biashara 2020 yaliyofanyika kwenye Kijiji cha Majambaa Kata ya Msowero, Kilosa mkoani Morogoro jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Dk. Geofrey Mkamilo.



Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akisalimiana na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Ilonga, Dk.Joel Meliyo...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AFUTA MIKUTANO YOTE YA WADAU WA KILIMO ILIYOPANGWA KUFANYIKA MWEZI MACHI NA APRILI 2020 ILI KUJIEPUSHA NA CORONA



Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akitoa taarifa ya kufuta mikutano ya wadau wa kilimo wakati akizungumza Ofisini kwake Jijini Dodoma leo tarehe 22 Machi 2020.


Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma

Kutokana na kuwepo kwa ugonjwa wa homa kali ya mapafu ujulikanao kama corona Wizara ya Kilimo imeamua kufuta mikutano yote ya wadau wa mazao ya kilimo iliyopangwa kufanyika kati ya mwezi Machi na Aprili, 2020 hadi hapo baadae maelekezo yatakapotolewa na kuziagiza Bodi za mazao na Taasisi...

 

5 years ago

Michuzi

MWAKA WA FEDHA WA 2020/ 2021 WIZARA YA MAJI KUFANYA USANIFU WA MRADI MKUBWA WA MAJI KUTOKA ZIWA VICTORIA KWENDA DODOMA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa, Kitila Mkumbo akizungumza mkoani Singida, mwishoni mwa wiki kwenye hafla ya kupokea mabomba ya maji ambayo ni sehemu ya Programu kubwa inayotekelezwa kwa nchi nzima katika mikoa 17, Singida ikiwa ni moja ya mikoa hiyo. Mkurugenzi wa RUWASA, Clement Kivegalo, akizungumza kwenye hafla hiyo. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa, Kitila Mkumbo.Meneja wa RUWASA Mkoa wa Singida, Mhandisi Lucas Saidi, akizungumza.Meneja wa Kiwanda cha kutengeneza...

 

5 years ago

CCM Blog

BUNGE LIMERIDHIA NA KUPITISHA TSH. BILIONI 40 KWA WIZARA YA HABARI, SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021

Na.Faustine Gimu Galafoni ,Dodoma.Katika  kutekeleza majukumu ya Wizara kwa mwaka 2020/21 Bunge limeridhia  na kuidhinisha Bajeti ya Wizara ya Habari ,Sanaa,Utamaduni na Michezo  kwa mwaka 2020/21 ya jumla ya Shilingi Bilioni Arobaini, Milioni Mia Moja Arobaini, Mia Sita Arobaini na Moja Elfu (Sh. 40,140,641,000).

Akiwasilisha  hotuba ya Madirio na Matumizi  ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2020/2021      Bungeni jijini Dodoma leo April 22,2020 Waziri Wa Habari,Sanaa ,Utamaduni na Michezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani