Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msoka: Katiba mpya imlinde mwanamke

MFUMO dume unaotawala kwenye jamii mbalimbali hapa duniani kwa kiasi kikubwa kumemfanya mwanamke ashindwe kupiga hatua za kimaendeleo. Mfumo huo ndiyo umemfanya motto wa kike na mwanamke aonekane ni mtumwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wajipongeza nafasi ya mwanamke Katiba mpya

UMOJA wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG)wamejipongeza kwa hatua waliyofikia na manufaa waliyoyapata wanawake katika Rasimu ya mwisho ya Katiba inayopendekezwa.

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa jukwaa la katiba juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo.
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.…
...

 

11 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA


Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya

>Bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Katiba Mpya ilivyoligawa Taifa

>Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingi. Usemi huo umejidhihirisha kwenye mchakato wa mabadiliko ya Katiba ambao tayari umeonyesha kuligawa taifa katika makundi matatu; Serikali, taasisi za dini na vyama vya siasa.

 

11 years ago

Mwananchi

VITISHO: NCCR wataka Serikali imlinde Kafulila

>Chama cha NCCR-Mageuzi kimeitaka Serikali kumpa ulinzi wa kutosha mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokana na vitisho anavyopata baada ya kusimama kidete bungeni akitaka suala la uchotaji fedha kwenye akaunti ya Escrow kutoka Benki Kuu (BoT) lichunguzwe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msoka: Wanawake wana nafasi kubwa kukuza uchumi

WANAWAKE ndio nguzo kuu katika kukuza uchumi wa nchi kutokana na majukumu wanayofanya kila siku, ingawa kumekuwepo na dhana kwamba wanawake hawana mchango wa kukuza uchumi. Katika kuhakikisha wanawake wanatambulika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

VALERIE MSOKA: Mtetezi wa haki za binadamu mwenye uzoefu wa kimataifa

WIKI hii katika safu hii namzungumza Valerie Msoka, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA). Huyu ni mama wa watoto watatu; wasichana wawili na mvulana mmoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani