Mtaa wa Msimbazi Kariakoo, wapigwa kufuli kwa muda
Barabara ya Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam, imefungwa kwa muda ili kupisha ukarabati wa Barabara hiyo,ulioanza rasmi leo.ukarabati ushaanza kushika kasi katika Barabara ya Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo.kibao cha kuonyesha kufungwa kwa Mtaa huo kuanzia Barabara ya Morogoro mpaka Mtaa wa Mafia.hivyo watumiaji wa njia hii mnapaswa kutafuta mbadala wake.mambo yameiva Msimbazi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 years ago
GPLUJENZI WA BARABARA YA MSIMBAZI KARIAKOO MBIONI KUKAMILIKA
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Waziri Saada Mkuya afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo na Mtaa wa Namanga
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiongoza na viongozi wa mkoa wa kodi wa Ilala kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na maafisa wa Serikali alipofanya ziara ya kushtukiza leo jijini Dar es salaam katika soko la Kariakoo kujionea namna wafanyabiashara wanavyozingatia na kusimamia matumizi ya mashine za kielektroniki za EFD ambazo wanazopaswa kuzitumia mara wanapouza bidhaa zao ili kusaidia Serikali kukusanya mapato na kuboresha utoaji wa huduma za jamii nchini. Wa...
9 years ago
VijimamboMSIBA WA NDUGU YETU MAREHEM BI.KHADIJA ISMAIL KUBE MTAA WA AGREY ,KARIAKOO, DAR-ES-SALAAM
Innalilahi Wainna Iilahi Rajiunn
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZ.....: MOTO WATEKETEZA JENGO MOJA MTAA WA LIVINGSTONE NA NARUNG'OMBE, KARIAKOO HIVI SASA
Globu ya Jamii inafuatilia tukio hilo taarifa kamili itawajia baadae kidogo.
9 years ago
Michuzi9 years ago
Michuzi9 years ago
Dewji Blog05 Dec
PSPF waanzisha kampeni mpya ya mtaa kwa mtaa kuhamasisha wanachama wake!
10 years ago
Michuzi