Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtanange wa "El Clasico" kesho


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BBQ NA MTANANGE WA MUUNGANO KUFANYIKA. WALKER MILLS SIKU YA JUMAMOSI PBZ KUKABIDHI JEZI KESHO

Kiwanja kitakachopigiwa mtanange
Mechi ya Muungano itakayochezwa Jumamosi April 25, 2015 kati ya timu ya Tanzania Bara na Tanzania Visiwani  chini ya udhamini wake People's Bank of Zanzibar(PBZ) ambao ndio wa dhamini mechi hii tangia mwaka jana.

Mechi inatarajiwa kuanza saa 12 jioni na kutakua na BBQ kuanzia saa nane mchana hapo hapo Walker Mills

Timu zote zipo kwenye mazoezi makali zikijiwinda na mpambano huo.

Anuani ya uwanja ni 8001 Walker Mill Road, District Heights, MD, 20747,
Jezi Jezi
 Jezi

 

10 years ago

Vijimambo

DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.

           NUNUA YAKO SASA INGIA..    WWW.DIAMONDUSATOUR.COM AU PIGA 3016616207 NOW.

 

9 years ago

BBCSwahili

La liga: vita ya El Clasico Jumamosi

Real Madrid na Barcelona zitakutana Jumamosi Dimba la Santiago Bernabeu

 

9 years ago

BBCSwahili

Real Madrid 0-4 Barcelona El Clasico

Kocha wa Madrid,Rafael Benitez anawashauri vijana wake wasiomboleze sana kufuatoa kichapo cha 0-4 dhidi ya Barcelona katika mechi ya El Clasico.

 

11 years ago

BBCSwahili

Suarez huenda akashiriki El Clasico.

Mshambulizi wa Uruguay na Barcelona huenda akashiriki katika mechi dhidi ya Real Madrid mwezi Oktoba.

 

9 years ago

Mwananchi

Ronaldo kucheza mechi ya mwisho ya El Clasico

Cristiano Ronaldo atacheza mchezo wake wa mwisho wa El Clasico Jumamosi, huku kukiwa na taarifa kuwa ataondoka Real Madrid Mei mwaka huu.

 

9 years ago

Mtanzania

Ni zaidi ya vita El Clasico, City, Liver hapatoshi

mtz30ABDUCADO EMMANUEL NA MITANDAO

NI wakati mwingine kwa mashabiki wa soka duniani kushuhudia uhondo wa mechi kubwa ya Ligi Kuu Hispania kwa miamba Real Madrid na Barcelona kuvaana katika Uwanja wa Santiago Bernabeu saa 2:15 usiku leo.

Mchezo huu utakuwa ni zaidi ya vita kwa timu hizo kutokana na kupishana pointi chache kwenye msimamo wa ligi, Barca ikiwa kileleni kwa pointi 27 na Real ikiwa nazo 24, huku zikifukuziwa kwa karibu na Atletico Madrid iliyojikusanyia 23.

Vita imekolea hapo, kwani...

 

5 years ago

Goal.Com

Focus on Sarabia's El Clasico outburst 'embarrassing' - Setien

Focus on Sarabia's El Clasico outburst 'embarrassing' - Setien  Goal.comLa Liga 2019/20: Barcelona vs Real Sociedad – tactical analysis  Football Bloody HellGolden Shoe 2019-20: Top Goalscorers in Europe, Latest Points on March 9  Bleacher ReportBarcelona's official Twitter trolls Cristiano Ronaldo after Lionel Messi breaks goal record  Daily StarBarcelona trolls Ronaldo as Messi overtakes him on all-time highest scorer list  Latest News in Nigeria & Breaking Naija News 24/7 | LEGIT.NGView...

 

10 years ago

GPL

EL CLASICO: MATHIEU, SUAREZ WAPELEKA KILIO REAL MADRID

Luis Suarez akishangilia bao aliloifungia Barcelona na kuipa ushindi wa 2-1 dhidi ya Real Madrid usiku huu. Lionel Messi akijaribu kuwatoka wachezaji wa Real Madrid wakati wa mechi hiyo. Cristiano Ronaldo akiifungia Real Madrid bao pekee…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani