Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTANDAO WA WANAWAKE WAZINDUA ILANI YA UCHAGUZI JIJINI DAR

 Mkurungenzi Mtendaji wa Chama cha waandishi wa habari wanawake (TAMWA) Edda Sanga akizungumza na wananchi juu ya uzinduzi wa ilani ya uchaguzi ya mtandao wa wanawake na katiba na uchumi leo jijini Dar es Salaam.Mkurungenzi Mtendaji wa Chama cha waandishi wa habari wanawake (TAMWA) Edda Sanga akizidua ilani ya uchaguzi ya mtandao wa wanawake na katiba na uchumi leo jijini Dar es Salaam.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MTANDAO WA WANAWAKE WAHITIMISHA TAMASHA LA UZINDUZI WA ILANI YA UCHAGUZI LEO JIJINI DAR

 Mkurugenzi Mtendaji wa  Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi akizungumza na wananchi juu ya kutambua michango ya kimaendeleo inayofanywa na wanawake kwa kuwawekea kumbukumbu kama ilivyo kwa wanaume, ili kuleta uwiano wa kijinsia leo Jiji Dar es Salaam katika kilele cha tamasha la Jinsia. Mkurugenzi Mtendaji wa  Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi akiteta jambo na Ruth Meena. Wanawake wakitaja baadhi ya matatizo ambayo yanayowakabili ni pamaoja na suala la...

 

10 years ago

GPL

SAMIAH SULUHU AKABIDHIWA ILANI YA UCHAGUZI NA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA

 Baadhi ya wanawake waliojitokeza katika hafla hiyo wakiwa katika viwanja vya Karimjee, Dar. Sehemu waliyokuwa wamekaa baadhi ya wanawake kutoka vyama mabalimbali vya siasa waliojitokeza katika kinyanganyiro cha uchaguzi. ... mkutano ukiendelea. Baadhi ya akina mama waliojitokeza kwenye mkutano huo wakiwa kwenye picha ya pamoja na Samiah. Kutoka kulia ni mgombea mwenza kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samiah Hassan...

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL NA NMB WAZINDUA HUDUMA YA KIFEDHA KWA NJIA YA MTANDAO JIJINI DAR ES SALAAM

 Naibu Waziri wa fedha na Uchumi Mh. Mwigulu Nchemba akizungumza katika uzinduzi wa huduma ya miamala ya kifedha ya Airtel Money na Benki ya NMB katika hoteli ya  Selena jijini Dar es Salaam leo. Kaimu mtendaji  mkuu wa Benki ya NMB Tom Borghols akizungumza katika uzinduzi wa huduma ya miamala ya kifedha ya Airtel Money na Benki ya NMB katika hoteli ya  Selena jijini Dar es Salaam leo. Mkurugenzi mtendaji wa  Airtel  Sunil Colaso akizungumza katika uzinduzi wa huduma ya miamala ya...

 

10 years ago

Bongo5

Restless Development wazindua ilani mpya ya vijana 2015

Taasisi inayojihusisha na maendeleo ya vijana nchini, Restless Development ikishirikiana na Tanzania Young Vision Association (TYVA), Youth of United Nations Association (YUNA), Femina, Salama Foundation, Tamasha, ZAFAYCO pamoja na Youth For Africa imezindua ilani mpya ya vijana 2015. Nicas Ngumba Program Manager wa Restless Revelopment Akizungumza leo na vijana waliojitokeza kwenye uzinduzi huo uliofanyika ndani […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya wanawake duniani 2020: Kwa picha wanawake walivyosherehekea jijini Dar es salaam

Ni wakati wa kizazi cha usawa katika maendeleo endelevu.

 

10 years ago

Vijimambo

PHILIP MANGULA AONGOZA MKUTANO WA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM WILAYA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM

 Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philip Mangula (kushoto), akihutubia katika mkutano wa wajumbe wa Halmshauri kuu ya CCM, matawi, wenyeviti wa serikali za mitaa na wajumbe wao na mabalozi wa chama hicho wilaya ya Ilala, uliohusu utekelezaji wa ilani na mchakato wa uchaguzi mkuu uliofanyika Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala, Asaa Simba. Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

BM Hair & Beauty Clinic wazindua huduma mpya jijini Dar

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akikata utepe kuzindua huduma mpya za BM Hair and Beauty Clinic huku akisaidiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya BM Hair & Beauty Clinic, Benno Chelele leo jijini Dar es Salaam. Kwa sasa wamefikisha miaka 14 kwa kutoa huduma zenye ubora tokea imeanzishwa.


Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akionyesha glasi juu yenye kinywaji pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya BM Hair & Beauty Clinic, Benno Chelele kuashiria kuzinduliwa kwa huduma mpya.

Mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani