Mtani Jembe, Yanga yapigwa 2-0.
SIMBA SC imeendeleza ubabe wake kwa mahasimu wao, Yanga SC katika mechi za Nani Mtani Jembe, baada ya jioni hii kuichapa mabao 2-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Desemba mwaka jana, Simba iliichapa Yanga SC mabao 3-1 katika mechi ya Mtani Jembe, inayoandaliwa na wadhamini wa timu hizo, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia ya Kilimanjaro.
Katika mchezo wa leo, hadi mapumziko, Simba SC ilikuwa tayari inaongoza kwa mabao hayo mawili, yaliyotiwa kimiani na kiungo Awadh Juma na mshambuliaji...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboSIMBA 2 YANGA 0 NANI MTANI JEMBE

Goli la pili la Simba limeweka wavuna na Elius Maguli na kuifanya Yanga kuzidi kutweta huku Simba wakizidi kuliandama lango la Yanga.
Mchezo huo wa kuania kombe la Nani Mtani Jembe 2014 bado unaendelea Uwanja wa Taifa jijini...
11 years ago
GPL
LIVE MECHI YA MTANI JEMBE: SIMBA 2 - 0 YANGA
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
MPIRA UKWISHA SIMBA 2 YANGA 0 NANI MTANI JEMBE





10 years ago
GPL
10 years ago
GPL
NANI MTANI JEMBE 2, YANGA KUIVAA SIMBA KESHO TAIFA
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Maumivu Nani Mtani Jembe sasa yahamia kwa wachezaji Yanga SC
JINAMIZI la mechi ya Nani Mtani Jembe bado linaiandama Yanga, ambapo baada ya uongozi wa klabu hiyo kulipiga chini benchi lote la ufundi, sasa wamehamia kwa wachezaji na kumpiga ‘stop’...