Mtikisiko CCM Manyara
WALIOKUWA wagombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Babati Mjini wamezidi “kumkaba koo” mshindi wa kura za maoni katika jimbo hilo na Mbunge anayemaliza muda wake Kiseyri Chambiri wakipinga matokeo ya uchaguzi huo.
Wagombea hao wapatao saba wameandika barua ya malalamiko kwenda Mkurugenzi wa Uchaguzi Mkoa wa Manyara wakipinga matokeo ya uchaguzi kwa madai ya ukiukwaji wa kanuni,taratibu,sheria na kutamalaki kwa vitendo vya rushwa katika mchakato...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Mtikisiko mwingine CCM, M/kiti Arusha atimka
10 years ago
Mtanzania16 Dec
Ni mtikisiko * Ukawa watesa miji mikubwa, ngome za CCM * Lowassa atamba
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani,
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetikiswa na vyama vinavyounda Umoja ya Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwenye matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
Katika uchaguzi huo uliofanyika nchini juzi, matokeo yanaonyesha kupanda kwa vyama vya upinzani hasa kwa kushinda maeneo yaliyokuwa yakiongozwa na CCM hali iliyokitikisa vilivyo chama hicho tawala.
Kutangazwa huko kwa matokeo hayo kunakuja baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0059.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MWENYEKITI NA KATIBU WA CCM BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200612-WA0059.jpg)
Na Mwandishi wetu, Babati
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) Mkoani Manyara inamshikilia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Maisaka kati Bakari Khatibu na katibu wa Tawi hilo Juma Swalehe wote wakazi wa wilaya ya Babati kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya sh. 200,000 kutoka kwa Mwinjilist wa kanisa la kinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) mtaa wa Komoto.
Mkuu wa Takukuru Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu aliyasema hayo mjini Babati wakati...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gfj5qHcKzV4/U5q46x-WPOI/AAAAAAAFqS0/O0R6zwv2bHo/s72-c/unnamed+(78).jpg)
MISS MANYARA 2014 KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA CCM MJINI BABATI
9 years ago
Michuzi28 Sep
CHOPA YA CCM YATUA MANYARA,MWIGULU NCHEMBA AENDELEA KUKUSANYA NYOMI
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Ow5MBv17-k5RFFrFrA_yXYixEbObnIlv6AGKA_wIyZUXwJvuWuAGlapjczLQqnxXZF8E4fkmHPhGh2iH0wsZdbu8zDZ6iy5HIX1fz-JsR24qGFBiGTfQzo9tngl4IVcAm2SAXyjE6jfYcFlSQQmXN-UPOE2cTxBogemiOhGiFwevf0uOlXs28rsVjta86IGj8fkz46iPiYbWHPCAJueZSaAoysPNf2bYgz0VaZCZfKBKW-mF=s0-d-e1-ft#https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12043106_430199550515612_2776231540165560381_n.jpg?oh=8af372d05f66de2b05cd3408696594ff&oe=56A26AFE)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/K_epgxgNcXAouzyKp5J2criV5w1pFtXuDgyhG1otAAgyIUW7Ck96YglYXGWWANvpm8zQRb3KuVOsN91eWg61s2CtFtsci6t3lReaWZxAciT_JaDQxULqorlvarU0I4Q18gm3aTObYdM5norXjNpS87wQsejFVuXCU1IcUohpIY1AIswGDCK1F53lJ38TH9YQbeLUD8LVe3H2qW2A-_ZZaoDQQ1q_NujpfFore62_Cf3dj6Um=s0-d-e1-ft#https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12039614_889236764463482_8155304396541486319_n.jpg?oh=0a223245c9e52dfa638cec812350dd84&oe=56A881D7)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/efA_1y2xj48undJAQ2U_-nmFIWp-hCSuDungXj8R1qRwkGGr17c3zMY7jX6wQn7nCgfsNMCC_d4mq_LshxANwrg1MEzVdyxCiFiXXdvJGxwbE5Ceq8H_iBgDO-PFqOXCalyBOnwVcLJTEiEaTZ8pp87s_Ty48uk_ipxrO0yXEWzGF-M2aSly-0g_RAsnOiKHV6rp1ziag7OrIPWGWrgruxi4wVHwlJR6K9yJFdg65r8clCZc=s0-d-e1-ft#https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11049607_430199623848938_2305083269899712315_n.jpg?oh=42259c196beed29722404ebb62f9e2d0&oe=568F62A3)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sIavZzwvBxc/U4awJ6hoygI/AAAAAAAFl-8/maYOjDmQ1_U/s72-c/9.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYANI MBULU MKOANI MANYARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-sIavZzwvBxc/U4awJ6hoygI/AAAAAAAFl-8/maYOjDmQ1_U/s1600/9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-i2h7v8m-E1M/U4awum5kT4I/AAAAAAACias/M3aQe8D2k40/s1600/6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VboRZ7JFpTE/U2njcX3_SSI/AAAAAAAAmHk/hJh9oYik4PI/s72-c/SKU+26.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA KUANZA ZIARA YA SIKU 26 KESHO, MIKOA YA TABORA, SINGIDA NA MANYARA
*NI YA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM *KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI
* KUKAGUA MAANDALIZI YA CHAMA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-VboRZ7JFpTE/U2njcX3_SSI/AAAAAAAAmHk/hJh9oYik4PI/s1600/SKU+26.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j7gHCBoyrvs/U4T5ubhkkSI/AAAAAAACiTE/8DoMhlMyRA0/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AITEKA HANANG,AIBOMOA NGOME YA CHADEMA MKOANI MANYARA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-j7gHCBoyrvs/U4T5ubhkkSI/AAAAAAACiTE/8DoMhlMyRA0/s1600/3.jpg)
Hatua hiyo ya kumhoji ilifikiwa baada Kiongozi huyo kuuliza swali kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika kwenye Kijiji cha...
9 years ago
Vijimambo28 Sep
COMRADE MWIGULU NCHEMBA SASA AINGIA MANYARA,WANANCHI WAFURIKA KUIUNGA MKONO CCM UCHAGUZI MKUU 2015
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12043106_430199550515612_2776231540165560381_n.jpg?oh=8af372d05f66de2b05cd3408696594ff&oe=56A26AFE)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12039614_889236764463482_8155304396541486319_n.jpg?oh=0a223245c9e52dfa638cec812350dd84&oe=56A881D7)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11049607_430199623848938_2305083269899712315_n.jpg?oh=42259c196beed29722404ebb62f9e2d0&oe=568F62A3)