Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtikisiko mwingine CCM, M/kiti Arusha atimka

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kupata mtikisiko baada ya viongozi wa ngazi ya mkoa na makundi mbalimbali ya wanachama kukihama na kujiunga na upinzani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Mtikisiko CCM Manyara

 WALIOKUWA wagombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Babati Mjini wamezidi “kumkaba koo” mshindi wa kura za maoni katika jimbo hilo na Mbunge anayemaliza muda wake Kiseyri Chambiri wakipinga matokeo ya uchaguzi huo.

 Wagombea hao wapatao saba  wameandika barua ya malalamiko kwenda Mkurugenzi wa Uchaguzi Mkoa wa Manyara wakipinga matokeo ya uchaguzi kwa madai ya ukiukwaji wa kanuni,taratibu,sheria na kutamalaki kwa vitendo vya rushwa katika mchakato...

 

10 years ago

Mtanzania

Ni mtikisiko * Ukawa watesa miji mikubwa, ngome za CCM * Lowassa atamba

 

mtanzaniadaily.2indd
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani,

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetikiswa na vyama vinavyounda Umoja ya Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwenye matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
Katika uchaguzi huo uliofanyika nchini juzi, matokeo yanaonyesha kupanda kwa vyama vya upinzani hasa kwa kushinda maeneo yaliyokuwa yakiongozwa na CCM hali iliyokitikisa vilivyo chama hicho tawala.
Kutangazwa huko kwa matokeo hayo kunakuja baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

NOEL OLE VAROYA CHADEMA ATANGAZA KUWANIA KITI CHA UBUNGE ARUSHA

NOEL PIC
Katika picha ni Noel Olevaroya akihutubia Maelfu ya wananchi katika moja ya harakati zake katika mkutano wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa vijana na mjumbe Wilaya ya Arusha kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Noel Olevaroya (37) ametangaza rasmi kupeperusha bendera ya chama hicho kwa kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo la Arusha mjini
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha Noel Olevaroya alisema kuwa nia yake ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheikh mwingine amwagiwa tindikali Arusha

MWALIMU wa dini Msikiti Mkuu wa Bondeni, Mustapha Kihago (49) na mwanae Khalid Mustafa (10), wamemwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali  sehemu za usoni na shingoni. Sheikh huyo ambaye ni wa...

 

11 years ago

IPPmedia

CCM must own up its wrongs if Salim was put to 'kiti moto'


IPPmedia
CCM must own up its wrongs if Salim was put to 'kiti moto'
IPPmedia
We read in one of the newspapers on Thursday that the Central Committee of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM), at its meeting held in Zanzibar end of last week questioned former prime minister Salim Ahmed Salim over his failure to defend the party's ...

 

11 years ago

Habarileo

M/kiti CCM Dar kizimbani kwa ARV bandia

Ramadhani MadabidaOFISA Mtendaji Mkuu wa kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, amepandishwa kizimbani kwa mashitaka ya kusambaza dawa bandia za Kupunguza Makali ya Ukimwi (ARV).

 

9 years ago

StarTV

M/kiti wa CCM Majohe ajiuzulu baada ya tuhuma za rushwa

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata ya Majohe, Gekura Gisiri, amejiuzulu baada ya mgombea wa udiwani kwenye kata hiyo, Hassan Kingalu aliyekuwa akilalamikiwa kutoa rushwa wakati wa mchakato wa kura za maoni kutangazwa mshindi atakayegombea udiwani wa kata hiyo.

Pamoja na hatua hiyo ya kujiuzulu, wananchi wa eneo hilo nao wameonyesha kutokukubaliana na kupitishwa kwa mgombea huyo, kwa kudai kuwa hana sifa za kuwa kiongozi wao.

Mwenyekiti huyo wa CCM kata ya Majohe, Gekura Gisiri...

 

10 years ago

Mwananchi

Makada CCM waanza kukitolea macho ‘kiti’ cha Ndesamburo

>Makada wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ‘wamegongana’ kutangaza nia ya kumrithi Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema).

 

10 years ago

Dewji Blog

Magufuli kupeperusha bendera ya CCM kiti cha Urais Oktoba 2015

magufuli

1. Mh. John Magufuli amepata kura 2104 sawa na Asilimia 87.1%

2. Balozi Amina Salim 253 sawa na Asilimia 10.5..

3. Mh. Asha-Rose Migiro kura 59 sawa na 2.4%

Kura zilizopigwa 2422,

Kura zilizoharibika 6,

Kura halali 2416,

Kwa mujibu wa Mh.Makinda

Hatimae Mh Dr. John Pombe Magufuli apendekezwa kupeperusha Bendera ya CCM nafasi ya urais kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu katika kikao cha Mkutano mkuu wa chama hicho mjini Dodoma

Jiandikishe ili uweze kupiga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani