M/kiti CCM Dar kizimbani kwa ARV bandia
OFISA Mtendaji Mkuu wa kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, amepandishwa kizimbani kwa mashitaka ya kusambaza dawa bandia za Kupunguza Makali ya Ukimwi (ARV).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Mwenyekiti wa CCM Dar kizimbani kwa tuhuma za kusambaza ARV feki
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/11144999_983145618416099_6850802969469507495_n.jpg)
KIZIMBANI KWA KUTENGENEZA TOVUTI BANDIA
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Noti bandia zawafikisha askari kizimbani
Na Samwel Mwanga, Simiyu
ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi na Magereza waliokamatwa na noti bandia na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu, wakikabiliwa na makosa mawili.
Washtakiwa hao ambao ni wenye namba H 2420 PC Seleman Juma (25) aliyekuwa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na B. 6499 Wdr Edmund Masaga (28) wa Gereza la Wilaya ya Bariadi, walifikishwa mahakamani hapo juzi mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama...
9 years ago
Michuzi05 Sep
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Watu 17 Dar kizimbani kwa ugaidi
11 years ago
IPPmedia18 Jan
CCM must own up its wrongs if Salim was put to 'kiti moto'
IPPmedia
IPPmedia
We read in one of the newspapers on Thursday that the Central Committee of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM), at its meeting held in Zanzibar end of last week questioned former prime minister Salim Ahmed Salim over his failure to defend the party's ...
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Mtikisiko mwingine CCM, M/kiti Arusha atimka
9 years ago
StarTV20 Aug
M/kiti wa CCM Majohe ajiuzulu baada ya tuhuma za rushwa
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata ya Majohe, Gekura Gisiri, amejiuzulu baada ya mgombea wa udiwani kwenye kata hiyo, Hassan Kingalu aliyekuwa akilalamikiwa kutoa rushwa wakati wa mchakato wa kura za maoni kutangazwa mshindi atakayegombea udiwani wa kata hiyo.
Pamoja na hatua hiyo ya kujiuzulu, wananchi wa eneo hilo nao wameonyesha kutokukubaliana na kupitishwa kwa mgombea huyo, kwa kudai kuwa hana sifa za kuwa kiongozi wao.
Mwenyekiti huyo wa CCM kata ya Majohe, Gekura Gisiri...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Awashitaki madaktari kwa kumpa ARV'S kimakosa