KIZIMBANI KWA KUTENGENEZA TOVUTI BANDIA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/11144999_983145618416099_6850802969469507495_n.jpg)
Washitakiwa  Patrick Natala na Maxmillian Msacky (katikati) wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar kutengeneza tovuti bandia. WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakituhumiwa kughushi, kutengeneza tovuti bandia na mifumo ya mtandao kwa kutumia majina ya baadhi ya viongozi wa Serikali, likiwemo la Rais Jakaya Kikwete na taasisi kubwa hapa nchini....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Feb
M/kiti CCM Dar kizimbani kwa ARV bandia
OFISA Mtendaji Mkuu wa kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, amepandishwa kizimbani kwa mashitaka ya kusambaza dawa bandia za Kupunguza Makali ya Ukimwi (ARV).
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Noti bandia zawafikisha askari kizimbani
Na Samwel Mwanga, Simiyu
ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi na Magereza waliokamatwa na noti bandia na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu, wakikabiliwa na makosa mawili.
Washtakiwa hao ambao ni wenye namba H 2420 PC Seleman Juma (25) aliyekuwa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na B. 6499 Wdr Edmund Masaga (28) wa Gereza la Wilaya ya Bariadi, walifikishwa mahakamani hapo juzi mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama...
9 years ago
Vijimambo01 Oct
NesiWangu: USIPITWE na DARASA la TOVUTI KWA RAIA MWANDAZI (SENIOR CITIZEN ) ADA $15:00 KWA MUHULA
![](http://eastbrooklyn.com/wp-content/uploads/2014/12/seniorsusingcomputers.jpg)
Image
eastbrooklyn.com
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qnmZOSNjR88/UwL3X32J1GI/AAAAAAAFNuI/9XdJia60mQQ/s72-c/1.jpg)
Tovuti yazinduliwa kurahisisha urasimishaji biashara kwa wazawa
![](http://4.bp.blogspot.com/-qnmZOSNjR88/UwL3X32J1GI/AAAAAAAFNuI/9XdJia60mQQ/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CN5tYnUGil4/UwL3lTLS1nI/AAAAAAAFNu4/B2HvwsjgKKI/s1600/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Kifungo kwa watakaosajili simu kwa majina bandia
MBUNGE wa Arusha Mjini Godbless Lema (CHADEMA) ameitaka serikali kueleza ni kwa nini utaratibu wa kusajili laini za simu unafanywa kiholela bila kujali sheria iliyopo. Aliuliza wali hilo jana bungeni...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mahakamani kwa kughushi tovuti feki kutumia majina ya Taasisi na wanasiasa
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA KUHAKIKI BURE TAARIFA ZAO KWA KUTUMIA SIMU,TOVUTI
Na Richard Mwaikenda
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeanisha njia tatu za Mpiga Kura kumwezesha kuhakiki kirahisi taarifa zake katika Daftari la...
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Tigo yadhamini shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana jijini Dar es Salaam
Meneja wa Mawasiliano wa Tigo Bw. John Wanyancha akiongea na wanafunzi wa shule mbalimbali za sekondari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani), wakati wa shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana kupitia mradi wa ‘Apps & Girls’ ulio chini ya Tigo Reach For Change.
Mwanzilishi wa Apps & Girls Bi. Carolyne Ekyamsiima akiongea na wanafunzi wa shule mbalimbali za sekondari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani) wakati wa shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana. Mradi huu upo...
11 years ago
Habarileo04 Mar
Matatani kwa kukutwa na noti 13 bandia
POLISI mkoani Mbeya inawashikilia watu sita kwa tuhuma tofauti, ikiwemo kukutwa na mali ya wizi pamoja na noti bandia. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, alisema Ahmed Msangi alisema watu hao walikamatwa katika maeneo mawili tofauti jijini hapa.